sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Na Wizara ya TAMISEMI inayomiliki huo mradi, Katibu Mkuu yupo, Waziri yupo sasa hivi kabadilishiwa tu wizara ili nako akavuruge kama alivyovurunda TAMISEMI.Waziri Mkuu hapo anaenda hii sijui mara ya tatu kila siku changamoto haziishi na anataka kutatua kwa makamera kazi ipo...Kuna kitu kimejificha hapo apeleke Timu ya ukaguzi tupate majibu ya kitaalamu sio haya ya kisiasa.
Nchi haina kuwajibishana, ni matukio tu baada ya matukio bila matokeo na yanajadiliwa kama SOGA tu vijiweni.