Mkuu kwani umemuona? Maana hao walituambia kila mwalimu kompyuta na kila kijiji milioni 50 ila mpaka leo hamna kitu so siwezi kuamini mpaka nimuone jembeSky Eclat naiona presha yako inavyopanda na kushuka. Pole sana kwa kumwombea Rais wetu mabaya, sawa? Tumekusamehe bure!
Which time are you talking about, even!??? Leteni evidences za Nairobi & India plsTime will tell
Kompyuta bila umeme inawezekana!??? Hukuona tunaanza na umeme kila kijiji!??? Wewe ni akili ya bamdogo tu 🙂Mkuu kwani umemuona? Maana hao walituambia kila mwalimu kompyuta na kila kijiji milioni 50 ila mpaka leo hamna kitu so siwezi kuamini mpaka nimuone jembe
Atakuwa kaanza ku recover,ukitaka kujua ni fuatilia nyendo za VP kama kuongoza vikao alivyokuwa anafanya Rais na mambo ya security yake yakoje maana huyo ndio potential Ili kiziba ombwe la kiungozi na kiusalama sio hao akina Pm wao wanaelekezwaAu amezinduka kama wanavyosema kuwa ni "kawaida" yake, wapambe sasa wanapata nguvu ya kuja front na kunena jambo juu yake-Wiki nzima hii walikuwa kimya!
Hiyo mtu wenu alipewa jina jipya kipindi cha kampeni,si unalikumbuka linahusiana na mambo ya kuchoma mkaaKifo unachomuombea mwenzio chaweza kukurudia mwenyewe
Maendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli [emoji173][emoji1241][emoji106][emoji111][emoji120]
By the way hata TISS wanaweza kuvumisha habari Ili wapate mwanya wa kufanya mambo yaoNaona GIA inachenji sasa, au siyo!??? Tutaelewana tuu nyie Ufipa.
NAIROBI
INDIA
IKULU HOSP
MZENA STATE HOSP
...
Hawezi acha kufanya kazi zake ofisini aje afurahishe maboyaMhhhh...ninamashaka.. Baba lao aje hadharani watu wamwone......kwa macho yao waziiii
Wewe endeleza kampeni za anaumwa na haonekani...Kama Rais ni mzima, kwa nini inakuwa mgogoro mkubwa sana kwa watu wa serikali kumuonesha huyu hapa Magufuli mzima wamalize uvumi kwamba ni mgonjwa?
Wanasubiri nini kufanya hivyo? Wanasubiri msaada wa wahisani?
Haaaa! Kumbe yule Mr Mzungu Mbelgium ni afisa kipenyo wa TISS!?By the way ni kazi ya TISS kuvumisha habari Ili wapate mwanya wa kufanya mambo yao
Hata hivyo kwa nini kipenzi cha watu afanyiwe mambo meengi ya kufichia ficha? Ni dhahiri kuna shida si nje tuu hata huko ndani
Maccm humu huwa yanajigariji kwamba wanaomuombea mabaya ni cdm lakini hata kitaa aisee nimeshangaa wengi hata hawasikitiki kwa lolote wanasubiri breaking news tuuIla safari hii kwa hili aisee Mzee baba ukiibuka huko JIREKEBISHE.