Hili linchi limeoza! Yaani mko serious mnaamini huu uzushi! Ujue msikute mkuu anawasoma anawashangaa tu! I believe, he is very cool and safe! Acheni kuamini kila uzushi! Kuna wanasiasa akiwemo Tundu Lissu wataumbuka! Save this comment!!!
Sitaki kuamini.Hahaha! Extremely fake!! Very fake! Hahaha! Kati ya Chahali na Majaliwa umechagua kumuamini yupi? Kwanini?
Mambo ya kuamimiana bila ushahidi hayana tena nafasi kwanguKwanini uamini hapa ndio penyewe? Unatishwa na maneno? Majaliwa ambaye ndio waziri mkuu kasema Rais yupo sawa! Sio tu mgonjwa yupo sawa! Unataka kipi cha ziada?
Mwanzoni - Nairobi,kisha India sasa hivi Mzena!!!!!.......??????? .Hahaha! Extremely fake!! Very fake! Hahaha! Kati ya Chahali na Majaliwa umechagua kumuamini yupi? Kwanini?
Hao kina Chahali sijui Kigogo sikui Tundu Lissu ni wananchi tu.Kiranga kama Chahali kaandika hivyo tafadhali save ili wakati ukifika usipotezee uwaulize pia! Walizusha 2019 hatukuhoji alipoibuka mh Rais, this time fairly TUTAWAULIZA! No spinning!
Sawa ila nitataka pia kukuona ukizodoa hao wazushi kwa nguvu hii hii siku akijitokeza! Tatizo akijitokeza thread zake hazitozidi hata page 30 na wazee wa mbanga mtapotea [emoji41]Sitaki kuamini.
Nataka kujua.
Nataka kumuona Magufuli akisema yupo hai na ni mzima.
Wanaungaunga tu kutisha wananchi!Mwanzoni - Nairobi,kisha India sasa hivi Mzena!!!!!.......??????? .
Kwahiyo kila ngoma itayopigwa acheze? Kikatiba nini kimevunjwa? Au shida ni political tunes?
Mimi naona rais kujificha wakati watu wanaeneza uongo, kama hizi habari ni uongo, ndiyo uozo wenyewe.Kiukweli, kama Watanzania wenzetu wanaweza kufanya haya alafu wasichukuliwe hatua basi linchi limeoza! Huku ni kuvuka mstari! Aibu! Aibu! Aibu! Kushabikia haya!
Mimi nashangaa watu mpaka leo wanakwenda kwa kuamini wanasiasa, katika jambo ambalo kulimaliza hatuhitaji experiment itakayogharimu fedha za kigeni!Mambo ya kuamimiana bila ushahidi hayana tena nafasi kwangu
Nachojua ni kuwa Raisi ni binadamu, katika kuishi kwake lolote linaweza mpata na tetesi kuwa hatupo naye hazipoi zinaongezeka pamoja na kauli ya PM,
kujiandaa kisaikolojia ni muhimu, sina cha kupoteza kama atatokea na kuzungumza maana namuombea mema.
Sawa kama ni famba itapendeza sana. Hivi ni kweli raisi wa Zanzibar kasitisha shughuli zake? Au nayo ni famba?Wewe hizo tetesi unazipata wapi zaidi ya same sources? Sources famba!!!
Mfano kesho akijitokeza alafu baada ya wiki Pierelikwidi akazusha tena ajitokeze tu?? Let's be fair!Mimi naona rais kujificha wakati watu wanaeneza uongo, kama hizi habari ni uongo, ndiyo uozo wenyewe.
Kama Magufuli ni mzima, kwa nini asijitokeze na kumaliza uvumi kwamba kafa?
Umehama hoja bossBora wanaoneza uzushi kuliko wanaotuma magaidi wenye silaha za kivita kushambulia wenzao.
Umehama hoja boss.