mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Mkuu mbona umepigwa na butwaa??Daaah.....
Njoo hapa tuendeleze kuomba upuuzi wetu
Katika mataifa yenye kuzingatia utawala wa bora, Waziri Mkuu & Co walipaswa kuwa kwenye suspected list ya assassination ya JPM.Mkuu mbona umepigwa na butwaa??
Vipi umeshaozeshwa.?Safari hii tutamuozesha kwa vibaka...
ana roho ya kichawi sana....
Unataka kuolewaVipi umeshaozeshwa.?
Naunga mkono hoja yakoKatika mataifa yenye kuzingatia utawala wa bora, Waziri Mkuu & Co walipaswa kuwa kwenye suspected list ya assassination ya JPM.
RAIS ni mali ya umma, haki ya kufahamu wapi alipo, afya yake siyo suala la kudanganya umma. Kwa nini walidanganya wakati wakifahamu kuwa anaumwa /kafariki? Je watu wakisema walimtoa roho, wakajipanga namna ya kuutangazia umma!
I see uYour question is logical but soundless. Since when wewe unampangia Rais nini afanye!???
Kweli kabisaNaunga mkono hoja yako
Nini Maoni yako baada ya kuwa Lissu was rightHivi huyo mama kazi yake ni kutuletea speculation, unspecified reports. Huyo mama na Lissu wanapenda speculation na unspecified reports kuwa viongoz wetu wanaumwa. Hayo ni maisha mabovu. Speculation zinaweza kusababisha ukatengana na mke. Sasa wamepata report kamili kutoka kwa mkuu, watulie.
Uyo