Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko wapi? Kimya sana, kulikoni?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko wapi? Kimya sana, kulikoni?

The Humble Dreamer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2015
Posts
7,574
Reaction score
10,598
Salaam Wakuu;

Waziri Mkuu kawa kimya sana miezi ya karibuni, tatizo ni Nini? Hii Hali ni tofauti na mwanzo alikua akitoa ushirikiano na kila wakati tutamsikia kwenye media akieleza mambo kadhaa na kukagua miradi ya serikali, sasa haonekani Tena!

Nini shida?
 
Salaam Wakuu;

Waziri Mkuu kawa kimya sana miezi ya karibuni, tatizo ni Nini? Hii Hali ni tofauti na mwanzo alikua akitoa ushirikiano na kila wakati tutamsikia kwenye media akieleza mambo kadhaa na kukagua miradi ya serikali, sasa haonekani Tena!

Nini shida?
Ukishaambiwa sasa inatosha lazima unakuwa na kirohojuto

Lukuvi in da house
 
Salaam Wakuu;

Waziri Mkuu kawa kimya sana miezi ya karibuni, tatizo ni Nini? Hii Hali ni tofauti na mwanzo alikua akitoa ushirikiano na kila wakati tutamsikia kwenye media akieleza mambo kadhaa na kukagua miradi ya serikali, sasa haonekani Tena!

Nini shida?
Nimemuona Kasulu leo kwenye mazishi ya Askofu Gerald Mpango.
 
Salaam Wakuu;

Waziri Mkuu kawa kimya sana miezi ya karibuni, tatizo ni Nini? Hii Hali ni tofauti na mwanzo alikua akitoa ushirikiano na kila wakati tutamsikia kwenye media akieleza mambo kadhaa na kukagua miradi ya serikali, sasa haonekani Tena!

Nini shida?
Na kigwangala je...hahahah..mama hamuoni nayeye haonekani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom