Kassim Majaliwa ndie PM ambae amekaa madarakani muda mrefu zaid ukimto Mh.Fredrick Sumaye na Mzee Kayanza Pinda na pia ameingia kwny list ya Cleop Msuya kuwa PM kwa ma Rais tofauti
Lakin kubwa zaid ndie PM ambae hajapata Msukosuko wa kisiasa katika Mawaziri wengi waliotawala…
Ma Rais wa Zamani katika mambo mengi ya Maamuzi magumu walikuwa wanatanguliza Ma PM wao matokeo yake wakawa wanashambuliwa zaid wao kuliko Rais katika hilo mf.Kawawa, Lowassa, Malecela…lakin kuanzia Utawala wa JPM na SSH wao ma Rais ndio wanaingia front na PM anabaki nyuma na matokeo yake ma Rais hawa wanakabiliwa na mashambulizi ya moja kwa moja Mf.issue ya michango ya rambirambi za tetemeko kule Kagera ilipaswa atangaze PM, au suala la kupandisha bei ya Umeme ilipaswa atangaze PM
Pia PM kajiweka mbali sana na mbio za Urais tofauti na PM waliomtamgulia matokeo yake kajikuta hajatengeneza Kambi kama z kina Msuya, Lowassa na Malecela kwny kusaka Urais timu ambazo zikajikuta zinakabiliana na kambi hasimu na matokeo yake kuzaa majungu na makashfa ya kutengenezeana