lugonopanja98
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 270
- 158
Alafu tunaambiwa alipambana na rushwa ns matumizi mabaya ya fedha za ummaKwa wale wana mahesabu wenzangu,
5.4Bil/1.8km
= 3Bil/1km
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu tunaambiwa alipambana na rushwa ns matumizi mabaya ya fedha za ummaKwa wale wana mahesabu wenzangu,
5.4Bil/1.8km
= 3Bil/1km
Uchunge nn wakati barabara za tanroad tu hutumia 1bil kwa kilometer moja huyo ded katumia 3bil kwa 1km barabara za tarura hizi, jela ndyo mahali sahihi kwake huyo jamaaNarudia bado angetakiwa kusema sikubaliani na haya matumizi hivyo naagiza vyombo husika vifanye uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki, haya mambo ya kuhukumu watu majukwaani as if wao ni Mahakama hayafai, na je wao wanapokosea nani huwa anawanyooshea vidole au ndiyo wakubwa huwa hawakosei???
Mashetani wanakuongoza malaika sio?[emoji23][emoji1787]huna AKILI periodMajaliwa ni tapeli tu..... Ccm na serikali yote hii ya kishetani hawafai
Watz ni wapumbavu sana!Narudia bado angetakiwa kusema sikubaliani na haya matumizi hivyo naagiza vyombo husika vifanye uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki, haya mambo ya kuhukumu watu majukwaani as if wao ni Mahakama hayafai, na je wao wanapokosea nani huwa anawanyooshea vidole au ndiyo wakubwa huwa hawakosei???
Amekiuka sheria namba ngapi?ni mbaya sana kisheria
Achen useng.e nyie watuWafuasi wa mwendazake wanaendelea kusomeshwa namba.
Wa Tz nyie ni watu wa ajab sana...nawafananisha na [emoji527]IQ ya majaliwa iko chini sana, hajui mipaka ya kazi yake. Huwezi kuamru watu wafikishwe mahakamani kabla hujafanya uchunguzi. Mwishowe ataamru hakimu ampe adhabu anayotaka yeye. Hafai kwa urais
Hata kama sio wataalamu wa barabara usitupige uongo bwana bilioni 5.4 kwa km 1.8 Huo ni wizi tena wa wazi wazi kabisa.It is possible (cu+fill),posho za vikao, consultancy fee kama walikuwepo, idadi ya structures (culverts/daraja),mifereji, road signs, n. k.
Unaweza kushangaa hiyo fedha ikawa ndogo kama kiwango cha lami kiliwekwa cha kawaida sambamba na upana wa barabara kuwa wa kawaida tu tofauti na barabara za nje ya mjini.
Kwanini agizo litoke kwa PM ?
Sema wewe ndiye mpumbavu, tena ambaye umeshikiwa akili. Hivi yule aliyedanganya umma, tena msikitini ni nani vile?? Ujinga ni kuamini eti ukiwa kiongozi una akili nyingi sanaaa, na kwamba kiongozi eti hakosei. Hivi kama hawa viongozi hawakosei ni kwa nini kila siku wanakimbilia bungeni kutunga sheria mpya za kinga ili wasistakiwe?? Acha umburula wewe...Watz ni wapumbavu sana!
Unampangia PM kazi?
Mtu ana nyenzo zote za kumsaidia kufanya kazi alafu wewe kiazi tu unakuja unasema ilitakiwa afanye hivi na hivi? Ili kumlinda nani?
Ndio maana huwa nasema kuwapigania watz ni ujinga mtupu! Ukipata nafasi piga hela ondoka. Maana mijitu yenyewe ndio kama hivi haijitambui
Walikuwa wanajenga ya njia tatu?Kwa wale wana mahesabu wenzangu,
5.4Bil/1.8km
= 3Bil/1km
Baki na upumbavu wako!Sema wewe ndiye mpumbavu, tena ambaye umeshikiwa akili. Hivi yule aliyedanganya umma, tena msikitini ni nani vile?? Ujinga ni kuamini eti ukiwa kiongozi una akili nyingi sanaaa, na kwamba kiongozi eti hakosei. Hivi kama hawa viongozi hawakosei ni kwa nini kila siku wanakimbilia bungeni kutunga sheria mpya za kinga ili wasistakiwe?? Acha umburula wewe...
Kama wale magaidi kule ukongaWafuasi wa mwendazake wanaendelea kusomeshwa namba.