TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Vipi kuhusu suala la Wizara ya fedha? Maana inastua kidogo kwa kimya hiki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hiki ndicho baadhi ya 'watu' wanataka kiwe ili ionekane hana nguvu za kuhakikisha maagizo yake yanatekelezeka. Lengo huko mbeleni wasipate shida! Hajausoma mchezo?Sote tunajua hakuna kitakachofanyika. Anabwabwaja, anaondoka kisha anasahau.
Diwani wa eneo hilo wakati huo nadhani alikuwa "Yusufu" kama sijakosea....ujenzi wa barabara ya Kijichi Mwanamtoti yenye urefu wa Kilomita 1.8 ikiwa imejengwa kwa gharama ya Bilioni 5.4.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa barabara ya Kijichi Mwanamtoti yenye urefu wa Kilomita 1.8 ikiwa imejengwa kwa gharama ya Bilioni 5.4.
Waziri Majaliwa ametoa maagizo hayo leo wakati wa ziara yake katika wilaya ya Temeke ambapo amemuagiza Mkuu wa TAKUKURU Temeke kuwatafuta wahusika wote akiwemo Mkurugenzi huyo wa zamani kwa ajili ya kushitakiwa.
"Nawapa siku 4, tarehe 20 deadline watu waende Mahakamani, ita yeyote yule huyu aliyehamishwa hapa arudishwe, huyo Mkurugenzi aliyewekwa pembeni arudishwe na Msimamizi Msaidizi, Edward Haule rudisha wote peleka mahakamani hatuwezi kufanya mchezo hapa hizi fedha za wananchi”.
Pia soma
Hivi takukuru bila maagizo huwa haifanyi kazi au vipi. Maana ingekuwa imepeea maagizo hata waliotajwa kwenye ripoti ya cag wangekuwa washaanza kuwashughulikia ila kwa sababu hawajapewa maagizo basi wapo tu.Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa barabara ya Kijichi Mwanamtoti yenye urefu wa Kilomita 1.8 ikiwa imejengwa kwa gharama ya Bilioni 5.4.
Waziri Majaliwa ametoa maagizo hayo leo wakati wa ziara yake katika wilaya ya Temeke ambapo amemuagiza Mkuu wa TAKUKURU Temeke kuwatafuta wahusika wote akiwemo Mkurugenzi huyo wa zamani kwa ajili ya kushitakiwa.
"Nawapa siku 4, tarehe 20 deadline watu waende Mahakamani, ita yeyote yule huyu aliyehamishwa hapa arudishwe, huyo Mkurugenzi aliyewekwa pembeni arudishwe na Msimamizi Msaidizi, Edward Haule rudisha wote peleka mahakamani hatuwezi kufanya mchezo hapa hizi fedha za wananchi”.
Pia soma