Waziri Mkuu Majaliwa, aagiza Lusubilo Mwakibibi kufikishwa Mahakamani

Mwakabibi Mkurugenzi Wa Zamani Wa Kakonko... Familia ya Yule Headmaster Haitakusahau Kamwe..!!! Wananchi wa Kakonko hawatakusahau Kamwe katika Uchaguzi Mdogo baada ya Kifo Cha Mbunge Bilago.
 
Uchunge nn wakati barabara za tanroad tu hutumia 1bil kwa kilometer moja huyo ded katumia 3bil kwa 1km barabara za tarura hizi, jela ndyo mahali sahihi kwake huyo jamaa
 
Watz ni wapumbavu sana!

Unampangia PM kazi?

Mtu ana nyenzo zote za kumsaidia kufanya kazi alafu wewe kiazi tu unakuja unasema ilitakiwa afanye hivi na hivi? Ili kumlinda nani?

Ndio maana huwa nasema kuwapigania watz ni ujinga mtupu! Ukipata nafasi piga hela ondoka. Maana mijitu yenyewe ndio kama hivi haijitambui
 
Sisi wananchi tunahitaji ni katiba mpya tuu kama hasara tumepata sana hata uchaguzi wa viini macho mlio ufanya umetutia hasara wananchi bila sababu
 
Mie hawa wakurugenzi hata wakipigwa risasi potelea mbali.

Wengi wao hawana weledi kbs katika kutimiza majukumu yao.

Mara waendeshwe na madiwani.

Wakija kwenye uchaguzi ndio hovyo kabisa.

Wavune tu wanachopanda.
 
IQ ya majaliwa iko chini sana, hajui mipaka ya kazi yake. Huwezi kuamru watu wafikishwe mahakamani kabla hujafanya uchunguzi. Mwishowe ataamru hakimu ampe adhabu anayotaka yeye. Hafai kwa urais
Wa Tz nyie ni watu wa ajab sana...nawafananisha na [emoji527]

Yaan mnatetea ubadhirifu wa mali ya umma..walah ningekua na mamlaka aisee ..daah...yaan mnataka viongoz wa wafanyeje kaz...yaan ni kubeza kiiila siku...was....e kwel
 
Hivi akisema nilitumwa na mwendazake na pesa ilitumika kwenye uchaguzi watamfanya nini?
 
Hata kama sio wataalamu wa barabara usitupige uongo bwana bilioni 5.4 kwa km 1.8 Huo ni wizi tena wa wazi wazi kabisa.
 
Sema wewe ndiye mpumbavu, tena ambaye umeshikiwa akili. Hivi yule aliyedanganya umma, tena msikitini ni nani vile?? Ujinga ni kuamini eti ukiwa kiongozi una akili nyingi sanaaa, na kwamba kiongozi eti hakosei. Hivi kama hawa viongozi hawakosei ni kwa nini kila siku wanakimbilia bungeni kutunga sheria mpya za kinga ili wasistakiwe?? Acha umburula wewe...
 
Huyu ndo alisaidia ccm kupora uchaguzi kule kigoma, chap akahamishiwa Temeke, Safi sana malipo ni hapahapa.
 
Baki na upumbavu wako!

Ndio maana nasema kuwapigania watz wapumbavu kama nyie ni ujinga mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…