Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameliagiza Jeshi la Polisi kuhakikisha linamtafuta popote alipo mmiliki wa jengo la ghorofa lililoporomoka jijini Dar es Salaam na kusababisha vifo vya watu 15 na kujeruhi wengine zaidi ya 80.
Pia, amesema kuwa Serikali imeunda timu ya watu 19 kwa ajili ya kukagua ubora wa majengo yote yaliyopo eneo la Karakoo jijini Dar es Salaam, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia:
Pia, amesema kuwa Serikali imeunda timu ya watu 19 kwa ajili ya kukagua ubora wa majengo yote yaliyopo eneo la Karakoo jijini Dar es Salaam, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia:
- Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
- Waziri Mkuu: Waliofariki kwa ajali ya Jengo kuporomoka wamefikia 16, majeruhi 86