Waziri Mkuu Majaliwa aagiza Polisi kumtafuta mmiliki wa Jengo lililoporomoka Kariakoo

Waziri Mkuu Majaliwa aagiza Polisi kumtafuta mmiliki wa Jengo lililoporomoka Kariakoo

Nakumbuka juzi Kassim Majaliwa alopotoa amri ya kukamatwa Niffer jion tu polisi wakatoa taarifa kwamba keshakamatwa ila Leo ni karibu week toka Majaliwa atoe amri ya kukamatwa mmiliki wa ghorofa na polisi hawajatoa taarifa ya kukamatwa kwake,

Je inaashiria kwamba tamko la PM lilikuwa la kisanii ama polisi ndio wamemdharau PM?
 
Watu waliofariki kutokana na kuporomoka jengo Kariakoo imefikia 29.

Hawa ni binadamu, waliojiajiri, hawakusubiri serikali iwatafutie ajira.

Wamakufa kwa uchungu kutokana na , nawza kusema, uzembe wa serikali kushindwa kusimamia watendaji wake.

Mbaya zaidi ni huyo mwenye jengo au wenye jengo ambao majirani wamesisika wakisema jengo lilikuwa linafanyiwa matengenezo kwenye misingi.

Lakini tunachotaka kusikia ni nani mhusika wa hilo jengo.
 
Unataka umpeleke wapi wakati yashatokea yakutokea ungesema serikali ianze ukaguzi wa ghorofa kariakoo ningekuelewa
 
Watu waliofariki kutokana na kuporomoka jengo Kariakoo imefikia 29.
Hawa ni binadamu, waliojiajiri, hawakusubiri serikali iwatafutie ajira.
Wamakufa kwa uchungu kutokana na , nawza kusema, uzembe wa serikali kushindwa kusimamia watendaji wake.

Mbaya zaidi ni huyo mwenye jengo au wenye jengo ambao majirani wamesisika wakisema jengo lilikuwa linafanyiwa matengenezo kwenye misingi.

Lakini tunachotaka kusikia ni nani mhusika wa hilo jengo.
MODS MNAUA MADA.
Clearly sababu za kuunganisha mada hazikidhi.
 
Unataka umpeleke wapi wakati yashatokea yakutokea ungesema serikali ianze ukaguzi wa ghorofa kariakoo ningekuelewa
Serikali ni mzembe wa kwanza kutojua nini kinaendelea, lkn haisababishi mhusika kutowekwa hatiani.
 
Unataka umpeleke wapi wakati yashatokea yakutokea ungesema serikali ianze ukaguzi wa ghorofa kariakoo ningekuelewa
Kwa cmnt hii,ilitakiwa zile gorofa 63 zishuke zote kwa pamoja
Labda ndy mtatia akili na gorofa hizo 63 zikishuka +kuletaa maafa uokozi wake lazima utachkua miaka 2 ..... no kko wala hakuna cha kko

Ova
 
Kwa cmnt hii,ilitakiwa zile gorofa 63 zishuke zote kwa pamoja
Labda ndy mtatia akili na gorofa hizo 63 zikishuka +kuletaa maafa uokozi wake lazima utachkua miaka 2 ..... no kko wala hakuna cha kko

Ova
Nakuunga mkono
 
Back
Top Bottom