Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Basi mimi niliposikia zoezi la anuani za makazi nikajua ni project ambayo ingepelekea kutengenezwa kwa barabara za mitaa pale ambapo nyumba zimejengwa kiholela kiasi kwamba hata ukozuka ajali ya moto gari ya zimamoto haiwezi kupita.
Nikajua zoezi hilo lingeboresha mitaa na kuondoa ile hali ya wananchi kupaki gari kuliko na ofisi ya CCM n.k
Kumbe si Simba si yanga [emoji2357][emoji848][emoji848]
Nikajua zoezi hilo lingeboresha mitaa na kuondoa ile hali ya wananchi kupaki gari kuliko na ofisi ya CCM n.k
Kumbe si Simba si yanga [emoji2357][emoji848][emoji848]