Waziri Mkuu Majaliwa aagiza uhakiki wa vibao vya majina ya mitaa katika anwani za makazi ili kuepuka makosa ya maandishi

Basi mimi niliposikia zoezi la anuani za makazi nikajua ni project ambayo ingepelekea kutengenezwa kwa barabara za mitaa pale ambapo nyumba zimejengwa kiholela kiasi kwamba hata ukozuka ajali ya moto gari ya zimamoto haiwezi kupita.

Nikajua zoezi hilo lingeboresha mitaa na kuondoa ile hali ya wananchi kupaki gari kuliko na ofisi ya CCM n.k

Kumbe si Simba si yanga [emoji2357][emoji848][emoji848]
 

vitapanda elikopta mara ya pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…