Waziri Mkuu Majaliwa: Corona imepungua Dar na Wagonjwa waliolazwa Wamepungua

Hivi ni kweli inamaanisha Corona imepungua kiasi hicho au ni watu wameamua kutokwenda hospitali baada ya habari za kunyanyapaa wagonjwa na kutelekezwa, pamoja na yale yaliyotokea amana?. Au ni vyote kwa pamoja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ingekuwa vizuri kama angetuambia/angetupa takwimu za wagonjwa walikuwa wangapi, wamepona wangapi na wamefariki wangapi.

Pia angetuambia kama kweli kwa kipindi hiki wagnjwa wa corona wanaende hospitali au wanajiugulizia nyumbani.

Anaweza kutoa hizo takwimu alizo toa laikini ni vizuri kujua kuwa wagonjwa wengi wanaogopa kwenda hospitali kutokana na huduma wanazo pewa kutokuwa rafiki, hivyo wanaaomua kujitibu wenyewe nyumbani
 
Mh. Rais kwa maono na ujasiri wake awe wa kwanza kuitangazia Tanzania na dunia ukweli,hakuna tiba wala hatuna uwezo kukabiliana na corona bali kwa uwezo wa Mungu na kinga ya mwili. Hivyo maisha yaendelee kama kawaida. Tahadhari iwe kwa wenye upungufu wa kinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wagonjwa wamebaki mikoa ya Daslamu, pwani na dodoma tu?
Mikoa mingine haina wagonjwa wa Corona?
Halafu kwanin wasiseme kua daslamu ina wagojnwa kadhaa, dodo.a ina wagonjwa kadhaa kuliko huu utaratibu wa kutaja hospitali afu mikoa mitatu tu.
 
Kataa wagonjwa mahospitalini kisha tangaza ugonjwa haupo. Huu ni ukatili wa hali ya juu sana.

Halafu hawataji Zanzibar as if Zanzibar siyo Tanganyika. The issue hapa ni simple huenda Zanzibar walikuwa wanaogopa kudanganya kwa sababu wanaogopa kuharibu swaumu zao. Wale wana uislamu fulani hivi unaowatia hofu
 
Wamepona mfano mzuri Piere wa Keko!

PM anachekesha walionuna. Wananchi wanajua kila kinachoendelea ila wako kimya kwa kuhofia kundi la watu wasiojulikana. Kwa maneno marahisi wananchi wameamua kujiongeza kwenye hili gonjwa. Kizazi za kulishwa data fake kiliisha kabla ya ujio wa smartphone.
 
Mungu ashukuriwe! kumbe wangonjwa waweza kuwa hawaonekani mahospitalini kumbe ni kwasababu hawapokelewi

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Na yule aliyepelekwa Kairuki jana ambaye PM na mtandao wake wote bado hajafahamu? Yani kukaa Dodoma basi ndo akae kiporipori asijue mambo ya mjini? Yule vipi? Naye amepona au?
Si mmoja..avai vilinda miiba miguuni.Kairuki na 4
 
Kwa hiyo muda si mrefu tunafunga hospitali zote zilizoteuliwa kwa ajili ya corona. Mungu anatupenda sana sana hata kipimo hakipo
 
Mkuu hii kama kweli basi kuna watu watapata laana kubwa sana.
Unawezaje kukataa kumtibia mama mjazito aliye zidiwa?

Unataka kupoteza maisha ya watu wawili kwa mpigo mmoja!!
Kama uongo basi na laana itawaendea wenye kutunga habari za kuogofya kama hizi, maana wanatia watu hofu kubwa mno. Hii hofu inaweza kumuuwa mtu akipata huu ugonjwa.

BTW, Deo na mkewe walijuaje kama wanachoumwa ni COVID-19?
Walipimwa na kupewa maibu kisha wakakataliwa kuhudumiwa hospital hadi watakapo pona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…