Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Umeona eeh! Hata kule Chato ilikuwa hivyo hivyo. Niliona vikaratasi vikichomolewa kwenye mfuko wa koti!!Hizi takwimu zinatolewa kwenye mifuko ya koti, halafu wanadonoa baadhi ya sehemu
Vyote viwili vinawezekana.Hivi kweli inamaanisha Corona imepungua au inamaanisha watu wanaogopa kwenda hospitali
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiongea baada ya swala ya Eid jijini Dodoma, Waziri Mkuu Mh. Majaliwa amesema idadi ya wagonjwa wa Corona imepungua sana nchini.
Amesema hadi leo asubuhi taarifa alizonazo hospitali nyingi hazina wagonjwa na chache zilizobaki wagonjwa wamepungua sana.
Kwa mfano Amana mgonjwa 1, Mloganzila 1, Agakhan 11, Kibaha 16 na Dodoma kuna wagonjwa 3.
Na wagonjwa wote wana hali nzuri wanasubiri kuruhusiwa kasoro Agakhan wagonjwa 4 bado wako katika uangalizi.
Pamoja na yote Mh. Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari na kuvaa barakoa.
Source: Upendo Tv Habari
Hayo 10, 11 watoe ajira waache kajanja.Yote Tisa kumi tunaitaji kuona viwanda elfu nne mlipovijenga na mil 50 kila kijiji, mambo mengine ayatuhusu.
Staili ileile kama taarifa ya vipimo vya mbuzi na mafenesiUmeona eeh! Hata kule Chato ilikuwa hivyo hivyo. Niliona vikaratasi vikichomolewa kwenye mfuko wa koti!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote Tisa kumi tunaitaji kuona viwanda elfu nne mlipovijenga na mil 50 kila kijiji, mambo mengine ayatuhusu.
Hizi ni kama za chato, bora wakae nazo tu wenyewe, walituzoesha enzi zile walikuwa wanatoa mpaka ramani kuonyesha sehemu zilizoathirikaUmeona eeh! Hata kule Chato ilikuwa hivyo hivyo. Niliona vikaratasi vikichomolewa kwenye mfuko wa koti!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamepona mfano mzuri Piere wa Keko!
wewe bado ujapona kichwa.kaa kwanza utulieYote Tisa kumi tunaitaji kuona viwanda elfu nne mlipovijenga na mil 50 kila kijiji, mambo mengine ayatuhusu.
si wanapona,roho inakuuma kuona wagonjwa wanapona ?johnthebaptist,
Wengine wameenda wapi bwashee
Mungu ashukuriwe! kumbe wangonjwa waweza kuwa hawaonekani mahospitalini kumbe ni kwasababu hawapokelewiNisaidieni kumshukuru Mungu. Mjomba wangu Deo, alipata Covid akapambana akapona, bahati mbaya sana mke wake aliyekuwa na ujauzito wa wiki 36 alipata maambukizi. Tarehe 1 mwezi huu alizidiwa na mjomba alizunguka naye kwa masaa 12 akikataliwa kupokelewa kwenye hospitali 6 Dsm. Deo ni mfanyabiasha mdogo sana lakini ameishika sana imani yake. Dakika za mwisho aliamua kwenda Agakhan kujaribu tu, maana pale hupokelewa watu maalum.
Kwa muujiza alipokelewa mkewe akiwa na hali mbaya sana. Kesho yake alifanyiwa operation mtoto akatolewa akiwa mzima. Mama alizidiwa na akakaa ICU kwenye ventilator kwa wiki mbili. Hatimae leo ameruhusiwa kutoka hospitali. Deo ni mtu wa kujitoa sana kwa watu. Bill ilikaribia 40m imechangwa na jamaa na marafiki kupitia group la whatsup alililianzisha.
*Utukufu, Heshima, Mamlaka na Adhama zina wewe MUNGU*
Si mmoja..avai vilinda miiba miguuni.Kairuki na 4Na yule aliyepelekwa Kairuki jana ambaye PM na mtandao wake wote bado hajafahamu? Yani kukaa Dodoma basi ndo akae kiporipori asijue mambo ya mjini? Yule vipi? Naye amepona au?
Mkuu hii kama kweli basi kuna watu watapata laana kubwa sana.Nisaidieni kumshukuru Mungu. Mjomba wangu Deo, alipata Covid akapambana akapona, bahati mbaya sana mke wake aliyekuwa na ujauzito wa wiki 36 alipata maambukizi. Tarehe 1 mwezi huu alizidiwa na mjomba alizunguka naye kwa masaa 12 akikataliwa kupokelewa kwenye hospitali 6 Dsm. Deo ni mfanyabiasha mdogo sana lakini ameishika sana imani yake. Dakika za mwisho aliamua kwenda Agakhan kujaribu tu, maana pale hupokelewa watu maalum.
Kwa muujiza alipokelewa mkewe akiwa na hali mbaya sana. Kesho yake alifanyiwa operation mtoto akatolewa akiwa mzima. Mama alizidiwa na akakaa ICU kwenye ventilator kwa wiki mbili. Hatimae leo ameruhusiwa kutoka hospitali. Deo ni mtu wa kujitoa sana kwa watu. Bill ilikaribia 40m imechangwa na jamaa na marafiki kupitia group la whatsup alililianzisha.
*Utukufu, Heshima, Mamlaka na Adhama zina wewe MUNGU*
Watapokelewaje wakati maabara imepona jana wangepimwa na nini?...subiriMungu ashukuriwe! kumbe wangonjwa waweza kuwa hawaonekani mahospitalini kumbe ni kwasababu hawapokelewi
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app