Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Husu Sumbawanga hata dalili ya kufyeka nyasi hakuna sijui ujenzi unaendelea wapi.
Huyu jamaa kwa uongo ni kiboko
Huyu jamaa kwa uongo ni kiboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyonge ni wajinga acha wasomeshwe nambaSerikali inapenda ndege kuliko kuboresha hospitali kwa ajili ya matibabu ya wanyonge.
Kuna reli ya Tazara mpya,uliza kama imewahi chochea uchumi.Kwenye reli SGR naweza kuwaelewa maana itachochea ukuaji wa uchumi maana itagusa watu wengi saana though ni kosa kuijenga kwa kitumia fedha za ndani 12 Trilion. Kwa nini ukiumize kizazi hiki kwa kukibana wakati project itaishi zaidi ya miaka 100?
Huku kwenye ndege so afar ishafeli...tangu hiyo Dreamliner itue kwa mfano niambieni ishasafiri km ngapi angani hadi leo hii?
Mawazo yanaweza kuwa mazuri ila approach ndiyo bomu.
Nashangaa sana kusikiwa Waziri Mkuu akishadidia kuongeza ndege za ATCL hata pale CAG ameonesha udhaifu mkubwa wa shirika na kuwa na hasara ya uendeshaji ya kutisha. Sijui kama serikali inafahamu after effects za haya maamuzi kwa maendeleo ya nchi!!!Serikali inapenda ndege kuliko kuboresha hospitali kwa ajili ya matibabu ya wanyonge.
Penalties za cancellation ya order ndiyo inayowafanya, wajitoe ufahamu, ni wajinga tu wanaoweza kununua midege huku wakijua inaleta hasara zisizopimika.Ameshindwa kusema kuwa order zilishawekwa tangu enzi za jpm na possibly wanakabwa na vifungu vya order cancelation, wazilete tu baba CAG atatuambia mwakani zimeingiza nini. Kazi iendelee.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Asilimia kubwa ya watanzania hasa wapiga kura huona njee na si ndani... Ni ngumu kumuelewesha mtanzania ambae si mfatiliaji kuwa eti ndege zinaleta Hasara akakuelewa .
Na hii ndo ilipelekea Mzee mwendazake kueleweka au kusifika kwa ununuzi wa ndege kwa hao wanaoitwa wanyonge maana Impact yake hawaijui na hata ukajaribu muelezea anakuona mpingajii tuu .
Si kwamba nae mzee hajui ni hasara ila navyojua tamaduni za watu wa huko hupenda kuona mavitu makubwa makubwa ili apate sifa hata kama mnakufa njaa hapo ndani
Penalties za cancellation ya order ndiyo inayowafanya, wajitoe ufahamu, ni wajinga tu wanaoweza kununua midege huku wakijua inaleta hasara zisizopimika.
Huyo muongo analeta porojo tu, hela hawana za kununua ndege, na kama ni kulipwa basi zilishalipwa na yule dhalimu hapo kabla.Asante sana PM Majaliwa,nina6amini kabisa 2025 wewe ndo rais wetu,naomba iwe hivyo ,Mungu akubariki sana
Hawez kutoboa kwa mama labda kama wewe haukunyonya.Asante sana PM Majaliwa,nina6amini kabisa 2025 wewe ndo rais wetu,naomba iwe hivyo ,Mungu akubariki sana
Wameshasema "ATCL inatoa huduma", kama vile madaraja na barabara na huduma hiyo inasaidia "kuchochea ukuaji wa biashara na sekta nyingine". Hawa jamaa hawana mpango wa kufanya biashara
Umeandika lakini ni ugoro mtupu, jinga kabisa wewe
Ni Airbus A220-300 mbili na Dash Q-400 De-Havilland moja.Ungemalizia kwa kusema aina ya Ndege zinazokuja ingefaa zaidi.
Kwa kutaja aina tungejua kama zitafanya kazi au ni za kukaa kwenye eneo la maegesho kama ilivyo kwa zile kubwa mbili zinazootea jua.