Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Nisamehewe tuu jamani.

Huyu pm huwa namwelewa kinyume, hapa naelewa vingine kabisaaaa......
 
Unawazungumzia Taga Gang FC, I mean kwenye hiyo kutafuta pa kutagia! Kumbukeni nchi hii tuna Mwendazake na mh. SSH. Midege ikiuzwa usituletee michozi humu!
Mipropaganda yenu mumeporomosha kipindi sieji akisoma lipoti mkashangiriaa wenyeweee mlivyo na bahati mbaya kila aina ya kutafuta kufuta mazuri ya jemadari wa Africa JPM mumeshindwa, matokeo yake JPM anazidi kuchanja mbuga. 2025 tutatumia mazuri ya JPM kama silaha ya kuwagaragaza tenaa.
 
Mipropaganda yenu mumeporomosha kipindi sieji akisoma lipoti mkashangiriaa wenyeweee mlivyo na bahati mbaya kila aina ya kutafuta kufuta mazuri ya jemadari wa Africa JPM mumeshindwa, matokeo yake JPM anazidi kuchanja mbuga. 2025 tutatumia mazuri ya JPM kama silaha ya kuwagaragaza tenaa.
Mnamsinamisha mwendazake hiyo 2025?!
 
HUYU WAZIRI MKUU NDIYE ALIYELIDANGANYA TAIFA JUU YA AFYA YA JIWE HIVYO INAKUWA VIGUMU KUAMINI LOLOTE LITOKALO MDOMONI MWAKE!
 
Huyu alikuwa ni mionhoni mwa watu waliokuwa hawataki Samia awe rais ndiyo maana aliudanganya umma kuwa mwendazake yuko bize na mafaili.

Bado ana akili za mwendazake. Tunamtafutia timing kama hatojirekebisha.
 
Hongera mh PM hakika uchumi utakua kwa kutangaza utalii hata nje ya nchi pamoja na kukuza sekta ya madini.Ninawasihi serikali isimamie vyema shirika hili kwa maslahi mapana ya taifa.Kudos!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Chadem walishaanza kuwa wademaji wa government, PM anawapa za USO hadi aibu,

Kazi iendelee
Kumuamini Piemu inabidi uwe na akili kama zako, order ya hizo ndege si ilitolewa na Jiwe kabla ya report ya CAG au mimi nimechanganya mafaili
 
Wameshasema "ATCL inatoa huduma", kama vile madaraja na barabara na huduma hiyo inasaidia "kuchochea ukuaji wa biashara na sekta nyingine". Hawa jamaa hawana mpango wa kufanya biashara
Kuna kipindi Jiwe alisema hilo shirika limepata faida mpaka wakatoa gawio, au yalikuwa maigizo kama kawaida yake
 
Kuna kipindi Jiwe alisema hilo shirika limepata faida mpaka wakatoa gawio, au yalikuwa maigizo kama kawaida yake
Alidanganywa. Au jamaa walichota kweli na kuzipeleka kama faida au alitupiga fix makusudi ili kujustify ununuzi wa hizo ndege.
 
Mnamlaumu majaliwa bure, jina lake linaakisi anachokiongea
 
ATCL wawe wabunifu:
1.Wafanye safari za ndani na kupunguza bei ili kuvuta wasafiri wa ndani.
2.Wafanye safari za kwenda nchi jirani kwa nchi ambazo wananchi wao huwa wanakuja Kariakoo kuchukua bidhaa,mfano DRC(Lubumbashi),Malawi,Zambia,Zimbabwe,Uganda,Bujumbura,Rwanda.
3.Wafanye ushirikiano na mashirika mengine ya ndege.
4.Tufungue njia zingine ambazo zinashida ya usafiri ndani ya Africa(Mfano Guinea,Africa ya Kati,Tchad,Na nchi zingine kama hizo) ili tuwasilishe mashirika mengine makubw ambayo hayataweza kwenda hizo nchi.!!!!!
5.Shirika limafanye 'Marketing',mfano chukueni toeni " offer" Kwa wandishi ,na kada mbalimbali wa mataifa mengine kwa kushirikiana na TANAPA.!
6.Fanyeni utafiti ndani na nje ya nchi kufahamu njia("route") ambazo mwaweza kuingia!.
7.Tembeeni na TIMU ZA MPIRA zinapokuwa zinatuwakilisha kwenye mechi katika mataifa mengine,MSIKAE KIMYA.
8.Mkikaa kimya,MTASEMWA,mpaka mshindwe KUJIAMINI.
 
Legacy aliyoiacha itatumika kuwagaragaza tena ili mseme tena mmeibiwa kura!
Labda useme tutatumia formular ile ile kuiba kura! Tatizo ni kwamba, hapa Tanzania Mungu ameamua kutusaidia mwenyewe, next death itakua ccm! Hiki kitakufa kwa kupasuka vipande vipande, kutakua na mataga, sukuma gang, yatima hadeki nk.
 
Tuwaache waendelee na Maisha yao wafanye wanachokiona kinafaa kwai sisi tupo tuu sababu wengine hatutakuja kuwa Waziri wakuu yeye aendelee na mpango yake fanyeni hii nchi ni ye kwenu
 
Back
Top Bottom