Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Hayo mashirika yote na makampuni unayoyalalamikia hayapaswi kuendeshwa na Serikali ndio, na ndio maana yanatakiwa kutoa gawio baada ya kuendeshwa kwa faida... Na huo ndio mwelekeo wa kibiashara. Naona bado unahusisha haya mashirika na upataji wa ruzuku.
Kwenye ruzuku mimi sipo, lakini hapo kwenye gawio na kodi, nipo! Serikali haiwezi kufanya biashara, kwa sababu biashara ni ushindani, wewe Manji shindana na Bahkresa, huwezi kushinda na Majaliwa! Unanipata ndugu yangu!?
 
Hawa wabunge wetu ni wa ajabu kabisa wkt mwingine unaona hata aibu kusema wewe ni mtz. sasa hivi wanapingana na CAG kuhusu mandege kuleta hasara kwa taifa. wanadai ndege haijapata hasara kwa sababu imeongeza pato kwenye utalii..hoja ya kipumbaff kabisa.
 
Kwenye ruzuku mimi sipo, lakini hapo kwenye gawio na kodi, nipo! Serikali haiwezi kufanya biashara, kwa sababu biashara ni ushindani, wewe Manji shindana na Bahkresa, huwezi kushinda na Majaliwa! Unanipata ndugu yangu!?
Naona tunaanza kupatana sasa, ni kwamba mashirika yote na makampuni yanayomilikiwa na Serikali sasa yanatakiwa yashindane na kina Manji, Bahkresa na wengine kwenye uwanja sawa ili mwisho wa mwaka faida ikipatikana inarudi kama gawio Serikalini kama ilivyo kwa Bahkresa na wengine.
 
Waliyonunua ni wakala wa ndege au ATCL ? Zinaweza kupangiwa majukumu mengine zikashafika?😷😷😷
 
Ni kawaida katika biashara....
faida baadae
Kwene Biashara kuna vitu tunaita Investment Cost na Return of Investment(ROI). Lazima kuwa na kipindi au muda maalumu wa kurudisha gharama ya mtaji. Ukisharudisha mtaji ndipo unaanza kutengeza FAIDA!!!!
Iwapo muda wa kurudisha mtaji ni mkubwa sana kiasi kwamba mpaka bidhaa ullyonunua inachakaa na hujarudisha gharama hiyo ni BIASHARA KICHAA!!!
ATCL NDEGE ZINAZIDI KUCHAKAA NA ZINAZIDI KUTENGEZA HASARA KUNA BIASHARA GANI HAPO??
 
Serikali inapenda ndege kuliko kuboresha hospitali kwa ajili ya matibabu ya wanyonge.
Acha uongo,
Toka uhur hospitali za wilaya ni 65
Magufuli kajenga karibia 90 kwa miaka mitano,

Vituo vya afya karibu mia 500,
Zahanati kali elfu moja na vyote ni vya kiwango.
Hospitali za mikoa kalibu kumi na za rufaa kakibu sita na za kanda pia zipo
Bado unaona ndege ni nyingi kuliko mahospitali?
Au umekula maharage yasiyojulikana.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitaja maeneo mengi sana ya kuonesha mafanikio ya Serikali , hapakuwa na makofi mengi kama alipoongelea ndege na airtanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuna ndege nyingine zinaletwa katika mwaka 2021/2022. na hivyo Serikali itakuwa na ndege zake 12.
tvetanzania-___CNmXw0qj5iO___-.jpg


Kisha akasema kwamba analipongeza sana Shirika la ndege airtanzania kwa kuanzisha safari za kwenda nje ya nchi hususan China , kwani safari hizo zitaongeza watalii na kuchochea ukuaji wa Biashara.

Wabunge wakaongeza vigelegele na makofi [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Naona tunaanza kupatana sasa, ni kwamba mashirika yote na makampuni yanayomilikiwa na Serikali sasa yanatakiwa yashindane na kina Manji, Bahkresa na wengine kwenye uwanja sawa ili mwisho wa mwaka faida ikipatikana inarudi kama gawio Serikalini kama ilivyo kwa Bahkresa na wengine.
Mkuu, tangu uhuru wakati Baba wa taifa alipotaifisha mashirika yakawa SU, mashule hata sera ya ujamaa kwa ujumla wake, yamekufa tu! Kupata watu 100 wanao jali masilahi ya wote, waendeshe hayo mashirika kwa niaba yetu ni ngumu sana! Angalia kwa upana, SACCOS, vyama vya ushirika, wanyonge wanapigwa, wachache wananufaika!
Sekta binafsi, uwekezaji, kwa kuzingatia masilahi ya nchi, mikataba ambayo haiangalii tu 10 percent yangu, bali 💯 yote ya mkataba kwa masilahi ya taifa, nchi itaenda!
 
Acha uongo,
Toka uhur hospitali za wilaya ni 65
Magufuli kajenga karibia 90 kwa miaka mitano,

Vituo vya afya karibu mia 500,
Zahanati kali elfu moja na vyote ni vya kiwango.
Hospitali za mikoa kalibu kumi na za rufaa kakibu sita na za kanda pia zipo
Bado unaona ndege ni nyingi kuliko mahospitali?
Au umekula maharage yasiyojulikana.
mwambie huyu hajielewi...Magu ali play role kubwa
 
Asante sana PM Majaliwa,nina6amini kabisa 2025 wewe ndo rais wetu,naomba iwe hivyo ,Mungu akubariki sana
Maombi yenu huwa hayafiki mbali,yanaishiaga usawa Wa nyaya za umeme tu.

Yule mwingine nae mlimuombeaga hivyohivyo.
 
Back
Top Bottom