nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Hajajifunza tu kwa mwenda zake!!Asante sana PM Majaliwa,nina6amini kabisa 2025 wewe ndo rais wetu,naomba iwe hivyo ,Mungu akubariki sana
Dawa ni ile tu Kila atakayezingua ataznguliwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajajifunza tu kwa mwenda zake!!Asante sana PM Majaliwa,nina6amini kabisa 2025 wewe ndo rais wetu,naomba iwe hivyo ,Mungu akubariki sana
Haya maneno yangekua matamu zaidi kama yangeitangulia report ya CAG! Kazi kubwa ya serikali ni usalama wa watu mali zao, biashara serikali haiwezi! Ukifanya biashara Wewe serikali kwenye ushindani itabidi uuwe kina fast jet ili utawale soko! Shirika la ndege lingeweza kupata wawekezaji, serikali ikapata chake, maisha yanaenda!Sidhani kama uko sahihi kwa hitimisho hili, biashara ya ndege inahitaji uwekezaji mkubwa na faida huwezi kuiona katika muda mfupi, aidha ununuzi wa ndege unategemea unataka kuhudumia 'Route' gani. Kwa sasa ATCL ina 'Route' ya Kati ya India na baadaye ndefu ya China ambayo ilikuwa ianze 20/03/2021 ikasitishwa.
ATCL imewahi kupeleka Airbus kwenye 'Route' ya Mumbai mara kadhaa lakini kuna wasafiri walilalamikia kitendo hiki wakati fulani kwani mteja ni mfaume, na kumbuka unapoomba 'Route' ni lazima utumie ndege inayofanana na mahitaji ya 'Route' hiyo.
Pamoja na yote yanayoendelea ATCL kwa sasa inaenda vizuri katika kipindi hiki cha uwekezaji na nathubutu kusema kuwa wataimudu hii biashara wakiendelea kuwa makini.
Jengeni Ofisi UFIPA tujue kama mko serious tuwape nchiCCM ni kichwa cha mwendawazimu kinachotembea!Hivi inawezekana vipi watu kama hawa wanaingia madarakani?
Nyuzi nyingine unawaacha wenye akili zao na uelewa wa mambo wachangie,utajifunza kitu,ukada unafanya unaonyesha " utupu" ulionao.usipoitaja chato huwa bomba la majitaka linakuwasha?Na upanuzi wa International Airport ya Chato nao uendelee kwa kuongeza terminal mbili mpya na Runaway moja.
Mbona mnatapatapa kama kuku anayetafuta pakutagaa?? Tulieni tuwajengee vyanzo vya mapatoo. Lazima ndoto za nyerere+ JPM ziendelezwee, najua mabeberu wako wanahangaika saaanaa. Kazi zote zinaendelea kama zilivyopangwaaaaaaaaaaaaaHao jamaa fedha sio zao na hawana uchungu nazo
Hiyoo. ☝️☝️Si mmesema kila Mtu abaki yake nyumbani?!Na tutanunua kesh! hakuna upumbavu wa sheria ya manunuzi wala mavi hapa kazi iendelee tujipigie mpunga!!
Madudu kawadanganye watoto. Hizo propaganda pelekeni huko kwenu mitandaoniii.Only in Tanzania kuna this level of incompetence. Pamoja na madudu yote, bado wang'ang'ana na ndege.
Si katika kuunga mkono juhudi za Shujaa Uchwara au?Nyuzi nyingine unawaacha wenye akili zao na uelewa wa mambo wachangie,utajifunza kitu,ukada unafanya unaonyesha " utupu" ulionao.usipoitaja chato huwa bomba la majitaka linakuwasha?
Unawazungumzia Taga Gang FC, I mean kwenye hiyo kutafuta pa kutagia! Kumbukeni nchi hii tuna Mwendazake na mh. SSH. Midege ikiuzwa usituletee michozi humu!Mbona mnatapatapa kama kuku anayetafuta pakutagaa?? Tulieni tuwajengee vyanzo vya mapatoo. Lazima ndoto za nyerere+ JPM ziendelezwee, najua mabeberu wako wanahangaika saaanaa. Kazi zote zinaendelea kama zilivyopangwaaaaaaaaaaaaa
Kwa hiyo umekubali kuwa ninyi ni kichwa cha wendawazimu?Jengeni Ofisi UFIPA tujue kama mko serious tuwape nchi
[emoji1][emoji1] mna dharau sana nyinyi...Si katika kuunga mkono juhudi za Shujaa Uchwara au?
Kama nakuona jinsi jasho linavyokutoka, basi unaona umeandika pointiii kumbe ujinga mtupu kuliko hata ujinga wa bashiteTulieni dawa ziwaingie akilizenu zimeishia kwenye kuona hasara tu na kuuza ndege,acha wenye akili za kukubali changamoto waendelee na faida itaonekana badae.
Kama mlizani mtapata ten pasee, kwenye mauzo ya ndege alafu mpigetena dili kwenyekukodi ndege hizohizo kwenye shirika mtakalo uza, mmelimia meno.
Mana hamshindwi kuziuza leo alafu wikiijayo mnaenda tena kukodi ndege hizohizo,wanyonyaji wakubwa nyinyi.
Sijui kwanini hamuipendi nchiyenu.
Mkuu Fuso huo ni ukatili hata shetani haoni ndaniKuhusu mafao ukishafika 60 yrs tutakupa 25% ya hayo then 75% tutakupa kidogo kidogo hadi ufe...hatutaki usumbue ndugu, mķeo na watoto wako kukuuguza na kukuzika..uwe na kipato chako.
Tunajua tukiwapa mnakula zote bila kujali mbeleni inakuwaje..mnazipa familia mzigo.
Sera za CCM ndizo zimetufikisha hapa mkuu!!Mkuu Fuso huo ni ukatili hata shetani haoni ndani
Hii ni Serikali ya wendawazimu aiseh!Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu yamekamilika, na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2021/22.
Akiwa Bungeni Dodoma leo, Waziri Mkuu amesema ununuzi huo utawezesha Serikali kuwa na jumla ya Ndege 12. Aidha, amesema kuanzishwa kwa safari za Guangzhou (China) kutakuwa chachu ya kuimarisha Biashara, Utalii na Ajira.
Vilevile, Majaliwa amesema ujenzi na upanuzi wa Viwanja vya Ndege vya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Sumbawanga vitakavyogharimu Tsh. Bilioni 176 unaendelea.