Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Ndege no muhimu na lazima zinunuliwe. Air Tanzania ina madudu mengi. Waisafishe. Waweke wataalamu na waache siasa. Faida za hizi Ndege hata wananchi wataziona.
 
Kwenye reli SGR naweza kuwaelewa maana itachochea ukuaji wa uchumi maana itagusa watu wengi saana though ni kosa kuijenga kwa kitumia fedha za ndani 12 Trilion. Kwa nini ukiumize kizazi hiki kwa kukibana wakati project itaishi zaidi ya miaka 100?

Huku kwenye ndege so afar ishafeli...tangu hiyo Dreamliner itue kwa mfano niambieni ishasafiri km ngapi angani hadi leo hii?

Mawazo yanaweza kuwa mazuri ila approach ndiyo bomu.
Kwan inajengwa bila mkopo? Kaangalie upya huo mradi
 
Asante sana PM Majaliwa,nina6amini kabisa 2025 wewe ndo rais wetu,naomba iwe hivyo ,Mungu akubariki sana
Kwanini unamweka Mungu hapo? Si ungetoa tu maoni yako au usubiri tu hiyo2025 upige kura yako na kuisindikiza na hayo matumaini yako?
 
Only in Tanzania kuna this level of incompetence. Pamoja na madudu yote, bado wang'ang'ana na ndege.
Hivi utaingiaje uchumi wa kati bila kuwa na national airline! Uchumi wa kisasa unahitaji pamoja na mambo mengine ndege za abiria na mizigo. Marehemu aliona mbali sana.
 
Tulieni dawa ziwaingie akilizenu zimeishia kwenye kuona hasara tu na kuuza ndege,acha wenye akili za kukubali changamoto waendelee na faida itaonekana badae.

Kama mlizani mtapata ten pasee, kwenye mauzo ya ndege alafu mpigetena dili kwenyekukodi ndege hizohizo kwenye shirika mtakalo uza, mmelimia meno.

Mana hamshindwi kuziuza leo alafu wikiijayo mnaenda tena kukodi ndege hizohizo,wanyonyaji wakubwa nyinyi.

Sijui kwanini hamuipendi nchiyenu.
Ingekuwa kodi mnalipa wenyewe ambao mnataka hizo ndege zinazoleta hasara basi asingelalmika mtu. Shida ni hela zetu sote alafu tunaona zatumika kwenye mahali si pa vipaumbele kwa mtanzajia wa leo.
Alafu tambua kila kitu kina faida na hasara ila lazima kupimwe hasara zake kwa jana leo na kesho..
Ukija na fact kuwa zina faida yake basi tambua hasara zipo pia . Shida inakuja pale hasara inapo zidi faida kwa muda usiokoma.
Uwazi upo hatukujipanga na swala la hiyo mindege vema alafu hapo hapo tunaacha mambo ya msingi yenye uhitaji kwa mtanzania
 
Actually Magufuli alipata ushauri mmbaya given the CAG revelation kwamba ATCL do actually pay their rent on the plane.

Magufuli alitakiwa awaache wakaguliwe kwa sababu yeye keshafanya yake ya kuleta ndege; failure ni tatizo la management.

Lawama za watanzania zilijikita kwenye bad investment, but then hata huko alishajilinda ndege ATCL inazitumia on long term lease so serikali inalipwa na bado assets ni zao.

Huo mpira ungekuwa wa watanzania sasa ATCL aiwezi kuzilipia ndege, bunge liamue ziuzwe/ akodishiwe mteja mwingine au ATCL ipewe nafasi. Most likely such vote bear nationalism sentiments ATCL ipewe muda. Baada ya kura hiyo matatizo ya ATCL asingekuwa anabebeshwa mtu mmoja bali bunge zima.

Mwisho wa siku lazima tukubali ukweli only thing Magufuli tried was trying to give the airline a chance, kufail kwenyewe asilimia kubwa ni mipango mibovu ya management.
Sasa unauhakikagani kama Jpm alikataa, ama ndio marehemu hana haki?.

Kwanini kumsingizia marehemu, muwe mnapima nanyie sio kubugiatu kilakitu mtakujakulishwa matango pori.

R.I.P Jpm.
 
MagwufooL huko ulipo maamuzi yako ya ki.puuzi sana uliyoyafanya wakati wa UHAI wako bado yanaligharimu taifa sasa na vizazi vijavyo. You dont even deserve to rest in peace
 
Ushamba nao ni mzigo, yaani kujaza ma vitu bado tunaona ni aina ya ufahari hata kama hayana tija

Ni zile akili zetu wasukuma kuwa na mifugo mingi lkn maisha yetu tunayajua wenyewe, kulala kwenye ngozi, mwendo wa ugali wa mtama (ukula) na asubuhi viazi (mandoro/ Manumbu) bila kuwa na mpangilio wa mlo kamili pamoja na utajiri wote tulio nao

Naona hapa ni quantity Vs Quality

Mmeambiwa yanakula hasara hayo subirini mdogo mdogo mpaka yaanze kutengeneza faida pia mkizingatia hiyo biashara kwa sasa ina changamoto za kidunia kutokana na COVID-19 na kuna watu wamebashiri itachukua muda mrefu kwa airlines industry kurudi vizuri labda hata miaka mitatu ijayo

Hivi haiwezekani ku cancel hizo order na pesa ikatumika kwenye madawa na maji plus miundo mbinu na ndege zilizopo zibembelezwe mpaka zikae sawa na pia hata biashara ya utalii inaweza chukua muda kurudi na yote sababu ni COVID-19 kwa hiyo hata usafiri wa anga kuchagiza sekta ya utalii nalo litachukua muda kutokana na mazingira ya kidunia kwa sasa
Nyerere mwenyewe alianzisha shirika la ndege la ATC hakuwa mjinga.
 
CAG ameshakupa investment costs za ndege, model of ATCL financing kati yake na serikali. Kama upo interested na business viability ya ungetaka kuona financial statements ya shirika na supplementary informations za kwenye notes how exactly does their expenses breakdown na kama zinaweza punguzwa. Their business strategy etc kuona shirika linaenda mbele vipi.

Lakini wewe unaomba mambo ambayo hayana ulazima kwa hali ya shirika lilipo leo. So issue yako sio hasara au faida kwa sana za ATCL, bali unataka kuleta mambo ya politics.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji119][emoji119]
 
Na upanuzi wa International Airport ya Chato nao uendelee kwa kuongeza terminal mbili mpya na Runaway moja.
 
Shida yetu watanzania kwa vile imesemwa kwamba tumekula hasara tunashikilia tuache na haifai.. kwelii?? Hapo kinachotakiwa ni kuendelea na kutafuta njia za kupata faida. Hivyo, serikali iko sahihi, hata hao wafanyabiashara wakuubwa mnaowaona huwa wanapata hasara pia.
Kuna biashara gani yenye faida siku zote hapa duniani. Nitajie
 
Dreamliner zipo 2 ndugu wala sio moja...na zinakusanya tu vumbi pale airport..mara moja au mbili kwa wiki zinaenda hapo india walau engine zipashwe pashwe...ila india kupeleka dreamliner ni ghali..route hiyo hata airbus zingeweza ila wanaishia kupeleka dreamliner ili zisije zikageuka mazalia ya popo
Sidhani kama uko sahihi kwa hitimisho hili, biashara ya ndege inahitaji uwekezaji mkubwa na faida huwezi kuiona katika muda mfupi, aidha ununuzi wa ndege unategemea unataka kuhudumia 'Route' gani. Kwa sasa ATCL ina 'Route' ya Kati ya India na baadaye ndefu ya China ambayo ilikuwa ianze 20/03/2021 ikasitishwa.

ATCL imewahi kupeleka Airbus kwenye 'Route' ya Mumbai mara kadhaa lakini kuna wasafiri walilalamikia kitendo hiki wakati fulani kwani mteja ni mfaume, na kumbuka unapoomba 'Route' ni lazima utumie ndege inayofanana na mahitaji ya 'Route' hiyo.

Pamoja na yote yanayoendelea ATCL kwa sasa inaenda vizuri katika kipindi hiki cha uwekezaji na nathubutu kusema kuwa wataimudu hii biashara wakiendelea kuwa makini.
 
Faida ya ndege huwezi kuiona moja kwa moja kama unavyofikiria mkuu. Faida ya ndege ni indirect inaimarisha image ya nchi na kuitangaza nchi nje then kwa kufanya hivyo utaona watalii wanaongezeka ndiyo maana KQ imeitangaza sana Kenya kiasi hata mbuga zetu na Mlima Kilimanjaro ikawainatambulika kuwa vipo Kenya. Inahitaji kuwa na ubongo uliotulia kuelewa faida ya ndege kwa Tanzania. Hebu wasikilize wenzako hawa hapa chini.

View attachment 1750857
Asilimia ya ndege kutangaza nchi ni ndogo sana, kuna njia nyingi za kujitangaza! Kenya wapo vizuri zaidi kwenye matangazo, Kiswahili na uswahili unakwamisha mambo mengi pia! Hii video ina Mtu mwenye pengo anacheka, labda anawacheka Zito na wapinzani wenzake, lakini angekua na meno yote nafikiri ingefaa awacheke na walio kurupuka kununua ndege kutokana na ushauri wa watu mnao wadharau!
 
Narudia tena Serikali hii imejaa waongo tena waongo wakubwa sana. Majaliwa anadai malipo yameshakamilika lakini hajaweka ushahidi hadharani kuonyesha kukamilika kwa malipo hayo. Sasa kutaka ushahidi huo uwekwe hadharani ni politics? 😳😳
Wafute tu hiyo nafasi ya CAG kwani haina umuhimu wowote kama ripoti yake inadharauliwa kiasi hiki. Haina thamani tena kwa hawa wahuni ndani ya Serikali.




CAG ameshakupa investment costs za ndege, model of ATCL financing kati yake na serikali. Kama upo interested na business viability ya ungetaka kuona financial statements ya shirika na supplementary informations za kwenye notes how exactly does their expenses breakdown na kama zinaweza punguzwa. Their business strategy etc kuona shirika linaenda mbele vipi.
CAG ameshakupa investment costs za ndege, model of ATCL financing kati yake na serikali. Kama upo interested na business viability ya ungetaka kuona financial statements ya shirika na supplementary informations za kwenye notes how exactly does their expenses breakdown na kama zinaweza punguzwa. Their business strategy etc kuona shirika linaenda mbele vipi.

Lakini wewe unaomba mambo ambayo hayana ulazima kwa hali ya shirika lilipo leo. So issue yako sio hasara au faida kwa sana za ATCL, bali unataka kuleta mambo ya politics.
 
poor-environment-poor-performance_web.jpg

Shule zetu
 
Asante sana PM Majaliwa,nina6amini kabisa 2025 wewe ndo rais wetu,naomba iwe hivyo ,Mungu akubariki sana
Labda kupitia chama cha DP, ccm ilishakufa na 2025 inakwenda kuzikwa rasmi na mindege yake,japo hiyo tenda ilishakamilika hata kabla meko hajalala wacha zije tu tuongeze parking
 
Huna upeo wa kuwaza

Wabunge wakistaafu wanapewa zote...

Je Wakulima na wafugaji ..Wana Mafao..? Hawa ndio 85% ...je Serikali inatunza wazee

Serikali inadaiwa Pesa nyingi mno na hii mifuko, mfano PSSSF wanadai Serikali 12 trillion

Kwa hiyo Serikali inakopa Pesa za mafao

Na Wafanyakazi Ni watu wenye uelewe kuliko Wakulima vijijini

Watu wakilipwa mafao yao, watafungua biashara na kupanua wigo wa Kodi kwa Serikali.

Fungua akili, acha kukariri mawazo ya Jenista Mhagama
Mkuu una uhakika na hizo 12trillions?
Hebu tupatie kaushahidi tuone.
 
Faida ya ndege huwezi kuiona moja kwa moja kama unavyofikiria mkuu. Faida ya ndege ni indirect inaimarisha image ya nchi na kuitangaza nchi nje then kwa kufanya hivyo utaona watalii wanaongezeka ndiyo maana KQ imeitangaza sana Kenya kiasi hata mbuga zetu na Mlima Kilimanjaro ikawainatambulika kuwa vipo Kenya. Inahitaji kuwa na ubongo uliotulia kuelewa faida ya ndege kwa Tanzania. Hebu wasikilize wenzako hawa hapa chini.

View attachment 1750857
Basi CAG ni muongo na hana uelewa kuliko wewe, napendekeza wew ndiye uwe CAG.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom