Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Asilimia kubwa ya watanzania hasa wapiga kura huona njee na si ndani... Ni ngumu kumuelewesha mtanzania ambae si mfatiliaji kuwa eti ndege zinaleta Hasara akakuelewa . Na hii ndo ilipelekea Mzee mwendazake kueleweka au kusifika kwa ununuzi wa ndege kwa hao wanaoitwa wanyonge maana Impact yake hawaijui na hata ukajaribu muelezea anakuona mpingajii tuu . Si kwamba nae mzee hajui ni hasara ila navyojua tamaduni za watu wa huko hupenda kuona mavitu makubwa makubwa ili apate sifa hata kama mnakufa njaa hapo ndani
Faida ya ndege huwezi kuiona moja kwa moja kama unavyofikiria mkuu. Faida ya ndege ni indirect inaimarisha image ya nchi na kuitangaza nchi nje then kwa kufanya hivyo utaona watalii wanaongezeka ndiyo maana KQ imeitangaza sana Kenya kiasi hata mbuga zetu na Mlima Kilimanjaro ikawainatambulika kuwa vipo Kenya. Inahitaji kuwa na ubongo uliotulia kuelewa faida ya ndege kwa Tanzania. Hebu wasikilize wenzako hawa hapa chini.

 
Dreamliner zipo 2 ndugu wala sio moja...na zinakusanya tu vumbi pale airport..mara moja au mbili kwa wiki zinaenda hapo india walau engine zipashwe pashwe...ila india kupeleka dreamliner ni ghali..route hiyo hata airbus zingeweza ila wanaishia kupeleka dreamliner ili zisije zikageuka mazalia ya popo
Kwani hujui tatizo la Corona Pandemic mkuu? Subiri kwanza Kazi Inaendelea!
 
Kama mlivyosikia.

Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amesema hayo leo huko Bungeni Dodoma.

'Ndege tutaendelea kununua na tayari ndege tatu tunatarajia zitawadia mwaka 2021/2022' amesema majaliwa.
 
Asilimia kubwa ya watanzania hasa wapiga kura huona njee na si ndani... Ni ngumu kumuelewesha mtanzania ambae si mfatiliaji kuwa eti ndege zinaleta Hasara akakuelewa . Na hii ndo ilipelekea Mzee mwendazake kueleweka au kusifika kwa ununuzi wa ndege kwa hao wanaoitwa wanyonge maana Impact yake hawaijui na hata ukajaribu muelezea anakuona mpingajii tuu . Si kwamba nae mzee hajui ni hasara ila navyojua tamaduni za watu wa huko hupenda kuona mavitu makubwa makubwa ili apate sifa hata kama mnakufa njaa hapo ndani

Tulieni dawa ziwaingie akilizenu zimeishia kwenye kuona hasara tu na kuuza ndege,acha wenye akili za kukubali changamoto waendelee na faida itaonekana badae.

Kama mlizani mtapata ten pasee, kwenye mauzo ya ndege alafu mpigetena dili kwenyekukodi ndege hizohizo kwenye shirika mtakalo uza, mmelimia meno.

Mana hamshindwi kuziuza leo alafu wikiijayo mnaenda tena kukodi ndege hizohizo,wanyonyaji wakubwa nyinyi.

Sijui kwanini hamuipendi nchiyenu.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu yamekamilika, na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2021/22

Akiwa Bungeni Dodoma leo, Waziri Mkuu amesema ununuzi huo utawezesha Serikali kuwa na jumla ya Ndege 12. Aidha, amesema kuanzishwa kwa safari za Guangzhou (China) kutakuwa chachu ya kuimarisha Biashara, Utalii na Ajira

Vilevile, Majaliwa amesema ujenzi na upanuzi wa Viwanja vya Ndege vya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Sumbawanga vitakavyogharimu Tsh. Bilioni 176 unaendelea
Legend Magufuli let's shine together
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu yamekamilika, na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2021/22

Akiwa Bungeni Dodoma leo, Waziri Mkuu amesema ununuzi huo utawezesha Serikali kuwa na jumla ya Ndege 12. Aidha, amesema kuanzishwa kwa safari za Guangzhou (China) kutakuwa chachu ya kuimarisha Biashara, Utalii na Ajira

Vilevile, Majaliwa amesema ujenzi na upanuzi wa Viwanja vya Ndege vya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Sumbawanga vitakavyogharimu Tsh. Bilioni 176 unaendelea
Semeni serikali imekamilisha malipo ya hasara nyingine mpya
 
Hicho kiasi kikubwa kimelipwa lini? Kimelipwa kwa cash au ni mkopo? Kama ni mkopo ni mkopo wa kiasi gani kutoka wapi? Na mkataba wa mkopo huo ulisainiwa lini, wapi na nani? Orders hata za ndege zinakuwa cancel bila matatizo yoyote.
Common sense tu tangia tuambiwe hizo ndege zimeshanunuliwa ni muda.


Manunuzi ya ndege mpya sio kama gari unaenda show room na kuondoka nalo.

Ndege unatoa order ndio unatengenezewa na serikali imesha commitment by now sehemu kubwa ya deposit imeshalipwa.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu yamekamilika, na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2021/22

Akiwa Bungeni Dodoma leo, Waziri Mkuu amesema ununuzi huo utawezesha Serikali kuwa na jumla ya Ndege 12. Aidha, amesema kuanzishwa kwa safari za Guangzhou (China) kutakuwa chachu ya kuimarisha Biashara, Utalii na Ajira

Vilevile, Majaliwa amesema ujenzi na upanuzi wa Viwanja vya Ndege vya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Sumbawanga vitakavyogharimu Tsh. Bilioni 176 unaendelea
Comments reserved
 
downloadfile.jpg

Fedha zetu
 
Serikali inapenda ndege kuliko kuboresha hospitali kwa ajili ya matibabu ya wanyonge.
Ndege ni chanzo cha mapato......
faida itakayopatikana hapo itaendelea kusaidia kuhudumia sekta ya afya infinitely.....
kwako kuwa na akili ya kutafakari ni jambo la anasa!!??
 
Ushamba nao ni mzigo, yaani kujaza ma vitu bado tunaona ni aina ya ufahari hata kama hayana tija

Ni zile akili zetu wasukuma kuwa na mifugo mingi lkn maisha yetu tunayajua wenyewe, kulala kwenye ngozi, mwendo wa ugali wa mtama (ukula) na asubuhi viazi (mandoro/ Manumbu) bila kuwa na mpangilio wa mlo kamili pamoja na utajiri wote tulio nao

Naona hapa ni quantity Vs Quality

Mmeambiwa yanakula hasara hayo subirini mdogo mdogo mpaka yaanze kutengeneza faida pia mkizingatia hiyo biashara kwa sasa ina changamoto za kidunia kutokana na COVID-19 na kuna watu wamebashiri itachukua muda mrefu kwa airlines industry kurudi vizuri labda hata miaka mitatu ijayo

Hivi haiwezekani ku cancel hizo order na pesa ikatumika kwenye madawa na maji plus miundo mbinu na ndege zilizopo zibembelezwe mpaka zikae sawa na pia hata biashara ya utalii inaweza chukua muda kurudi na yote sababu ni COVID-19 kwa hiyo hata usafiri wa anga kuchagiza sekta ya utalii nalo litachukua muda kutokana na mazingira ya kidunia kwa sasa
 
Kuhusu mafao ukishafika 60 yrs tutakupa 25% ya hayo then 75% tutakupa kidogo kidogo hadi ufe...hatutaki usumbue ndugu, mķeo na watoto wako kukuuguza na kukuzika..uwe na kipato chako.
Tunajua tukiwapa mnakula zote bila kujali mbeleni inakuwaje..mnazipa familia mzigo.
Huna upeo wa kuwaza

Wabunge wakistaafu wanapewa zote...

Je Wakulima na wafugaji ..Wana Mafao..? Hawa ndio 85% ...je Serikali inatunza wazee

Serikali inadaiwa Pesa nyingi mno na hii mifuko, mfano PSSSF wanadai Serikali 12 trillion

Kwa hiyo Serikali inakopa Pesa za mafao

Na Wafanyakazi Ni watu wenye uelewe kuliko Wakulima vijijini

Watu wakilipwa mafao yao, watafungua biashara na kupanua wigo wa Kodi kwa Serikali.

Fungua akili, acha kukariri mawazo ya Jenista Mhagama
 
Dreamliner zipo 2 ndugu wala sio moja...na zinakusanya tu vumbi pale airport..mara moja au mbili kwa wiki zinaenda hapo india walau engine zipashwe pashwe...ila india kupeleka dreamliner ni ghali..route hiyo hata airbus zingeweza ila wanaishia kupeleka dreamliner ili zisije zikageuka mazalia ya popo
Una uwakika zipo 2?
 
Hicho kiasi kikubwa kimelipwa lini? Kimelipwa kwa cash au ni mkopo? Kama ni mkopo ni mkopo wa kiasi gani kutoka wapi? Na mkataba wa mkopo huo ulisainiwa lini, wapi na nani? Orders hata za ndege zinakuwa cancel bila matatizo yoyote.
Tulia ww usiyejua....
kaa kimya tukuongoze
 
Common sense tu tangia tuambiwe hizo ndege zimeshanunuliwa ni muda.

Manunuzi ya ndege mpya sio kama gari unaenda show room na kuondoka nalo.

Ndege unatoa order ndio unatengenezewa na serikali imesha commitment by now sehemu kubwa ya deposit imeshalipwa.
Watu wengi hapa ni vichwa maji hawatakuelewa.
 
Back
Top Bottom