Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Narudia tena Serikali hii imejaa waongo tena waongo wakubwa sana. Majaliwa anadai malipo yameshakamilika lakini hajaweka ushahidi hadharani kuonyesha kukamilika kwa malipo hayo. Sasa kutaka ushahidi huo uwekwe hadharani ni politics? 😳😳
Wafute tu hiyo nafasi ya CAG kwani haina umuhimu wowote kama ripoti yake inadharauliwa kiasi hiki. Haina thamani tena kwa hawa wahuni ndani ya Serikali.
CAG ameshakupa investment costs za ndege, model of ATCL financing kati yake na serikali. Kama upo interested na business viability ya ungetaka kuona financial statements ya shirika na supplementary informations za kwenye notes how exactly does their expenses breakdown na kama zinaweza punguzwa. Their business strategy etc kuona shirika linaenda mbele vipi.
Canadian aircraft maker De Havilland wins $43 million claim against SpiceJet
De Havilland had sought termination of purchase agreement and payment of damages worth $42.9 million on part of SpiceJet. Court ruled in favour of aircraft maker, saying SpiceJet failed to abide by pact
Ata ingekuwa malipo yote bado hayajakamilika there are penalties for stepping out of a contract.
Soma hapo juu hilo shirika lilipigwa fine ya karibu $43 million just for stepping out of an agreement kabla hata ndege azijatengenezwa. Iwe hatua za ndege kukamilika.