Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Nisamehewe tuu jamani.
Huyu pm huwa namwelewa kinyume, hapa naelewa vingine kabisaaaa......
Huyu pm huwa namwelewa kinyume, hapa naelewa vingine kabisaaaa......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipropaganda yenu mumeporomosha kipindi sieji akisoma lipoti mkashangiriaa wenyeweee mlivyo na bahati mbaya kila aina ya kutafuta kufuta mazuri ya jemadari wa Africa JPM mumeshindwa, matokeo yake JPM anazidi kuchanja mbuga. 2025 tutatumia mazuri ya JPM kama silaha ya kuwagaragaza tenaa.Unawazungumzia Taga Gang FC, I mean kwenye hiyo kutafuta pa kutagia! Kumbukeni nchi hii tuna Mwendazake na mh. SSH. Midege ikiuzwa usituletee michozi humu!
Wizi wizi tuCCM ni kichwa cha mwendawazimu kinachotembea!Hivi inawezekana vipi watu kama hawa wanaingia madarakani?
Mnamsinamisha mwendazake hiyo 2025?!Mipropaganda yenu mumeporomosha kipindi sieji akisoma lipoti mkashangiriaa wenyeweee mlivyo na bahati mbaya kila aina ya kutafuta kufuta mazuri ya jemadari wa Africa JPM mumeshindwa, matokeo yake JPM anazidi kuchanja mbuga. 2025 tutatumia mazuri ya JPM kama silaha ya kuwagaragaza tenaa.
Wahindi wetu hawa kweli wanaruhusu akili ya mtanzania kumiliki Ndege!? Kweli jamaa alifanya Watu wengi waoaneHasara hasara hasara Majaliwa awajibishwe.
Huyo Kiongozi ni wa pili tu baada ya Mwendazake kwa uwongo.Huyo bwana amekuwa muongo muongo sana usikute anasema uongo
Kumuamini Piemu inabidi uwe na akili kama zako, order ya hizo ndege si ilitolewa na Jiwe kabla ya report ya CAG au mimi nimechanganya mafailiChadem walishaanza kuwa wademaji wa government, PM anawapa za USO hadi aibu,
Kazi iendelee
Kuna kipindi Jiwe alisema hilo shirika limepata faida mpaka wakatoa gawio, au yalikuwa maigizo kama kawaida yakeWameshasema "ATCL inatoa huduma", kama vile madaraja na barabara na huduma hiyo inasaidia "kuchochea ukuaji wa biashara na sekta nyingine". Hawa jamaa hawana mpango wa kufanya biashara
Alidanganywa. Au jamaa walichota kweli na kuzipeleka kama faida au alitupiga fix makusudi ili kujustify ununuzi wa hizo ndege.Kuna kipindi Jiwe alisema hilo shirika limepata faida mpaka wakatoa gawio, au yalikuwa maigizo kama kawaida yake
Legacy aliyoiacha itatumika kuwagaragaza tena ili mseme tena mmeibiwa kura!Mnamsinamisha mwendazake hiyo 2025?!
Labda useme tutatumia formular ile ile kuiba kura! Tatizo ni kwamba, hapa Tanzania Mungu ameamua kutusaidia mwenyewe, next death itakua ccm! Hiki kitakufa kwa kupasuka vipande vipande, kutakua na mataga, sukuma gang, yatima hadeki nk.Legacy aliyoiacha itatumika kuwagaragaza tena ili mseme tena mmeibiwa kura!
Ndiyo maana nikapendekeza uwe wewe,Mpaka ujue kuchambua ripoti ya CAG ila kama una akili kama zako ni bure tu.
Shauri yenu covid 19 wakianza kudai hela zao za ruzuku mtakubali tu ya kwamba DJ ni mwizi wa ruzukuKwa hiyo umekubali kuwa ninyi ni kichwa cha wendawazimu?