Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

Kuhusu mafao ukishafika umri wa miaka 60 tutakupa 25% ya hayo then 75% tutakupa kidogo kidogo hadi ufe...hatutaki usumbue ndugu, mķeo na watoto wako kukuuguza na kukuzika..tunataka uwe na kipato chako kidogo kidogo mwenyewe.
Tunajua tukiwapa mnakula hela zote bila kujali mbeleni mtaishije ..mnazipa familia zenu mzigo wasiostahili.
Nikishakufa kilichobakia mnapeleka wapi?
 


Ata ingekuwa malipo yote bado hayajakamilika there are penalties for stepping out of a contract.

Soma hapo juu hilo shirika lilipigwa fine ya karibu $43 million just for stepping out of an agreement kabla hata ndege azijatengenezwa. Iwe hatua za ndege kukamilika.
Mkuu Huyo Kajaa Na Uchadema Kichwani
 
Kiukweli mimi bado najiuliza maswali mengi kuhusu haraka hii ya ununuzi wa ndege zingine sipati majibu;-

1. Hivi ni saau gai inayofaya serikali iharakishe kununua hizi ndege kwa haraka yote hii?
2. Ikiwa CAG ameshabainisha hasara na mkwamo uliopo katika hilo shirika letu la ndege kwa miaka yote 5, Je ni kweli serikali imeshafanya tathmii ya kina kabla ya kuendelea kununua hizi ndege?
3. Je hitaji la watanzania ni idadi ya ndege au faida itokanayo na ndege?
4. Je kama hizi chache zilizopo sasa ziatutia hasara lakini bado kuna watu wanakimbilia kwenda kununua hizo ndege kwa kisingizio cha kuenzi juhudi a jitihada za JPM hata kama zimetuingiza hasara, Je ni nani na nani wanafaidika na hasara hii?
5. Je ni kukosa watu sahihi wa kupredict outcomes ya mradi au bado hatuwaamini wataalamu wetu ikiwemo ofisi ya CAG?
6. Je mpaka shirika lipate hasara kubwa kiasi gani au kwa miaka mingapi ndipo serikali itashituka?
 
HILI SUALA LA CANCELLATION YA ORDER COULD HAVE BEEN SOLVED DIPOLATICALLY KWA KUMTUMIA MAMA MWANADIPLOMASIA BALOZI MULAMULA; LAKINI KWASABAU CHAMLIHO AMEKULA 10% YAKE NDIO ATAWASHAWISHI KUWA HAIWEZEKANI!!! HILO LINGEWEZA KUZUNGUMZIKA NA BOEING WANGEWEZA KUWAIVE HIZO PENALTIES.
Hata alienda mama wangeyamaliza kwa nini tuendelee kuumizana kwa miradi ya kipuuzi?
 
Hiyo siyo kweli kwani hospitali zetu zimeboreshwa sana na nyingi xins vifaa vya kisasa sana kwa vile hakuna hospitali za vijijini ambavyo havuine umeme leo. Majuzi kuna ndugu yangu amefanyiwa upasuaji huko huko kijijini na amepona. Miiezi michache iliyopita viongozi wetu walifariki wakiwa wanatibiwa hkwenye hospitali zetu tofauti na zamani walikuwa wanafariki wakiwa wanatibiwa hospitali za nje!
Acha uongo wewe kenge, hospital zote mpya walizojenga hazijaanza Kazi,vituo vya afya ndio kabisaa na kama umesikia Ummy anasema kipaombele kwa sasa.ni kununua vifaa tiba,kumalizia majengo na kuajiri watumishi Ili zianze kufanya Kazi.

Nina uhakika na ninachoongea,hizo unazosema wewe ni vituo vya afya au hospital zilizokuwepo ila zimeboreshwa kiasi lakini zile mpya hakuna inayofanya kazi
 
Hatuna namna kwasasa maana ndiyo brand au equipment zilizopo kwenye fleet ya ATCL. Kwasasa tuendeleze hizohizo ila tusitafute zingine tofauti tena.
So far tuna marubani na huenda tumetrain wahandisi wa aina hizo za Ndege.
Mm nimeona at least hizo equipment ziko tailored kwa mazingira yetu kidogo, kuliko zingeongezwa Dreamliner tena zine kubanikwa juani..
Habari nzima ya kuongeza kununua ndege wakati zilizopo zinaleta hasara na hatuna business plan inayoeleweka kubadili biashara ni sawa na kusema hatuna jinsi hili kaburi tushaanza kujichimbia, tumefikia nusu, ni bora tumalize tu kuchimba lote tuzikwe.

This is what psychologists call "cognitive dissonance".

Yani unataka kwenda Kariakoo kwa njia fupi kabisa, umetoka Mwenge, unaelekea Mbezi kaskazini uelekeo tofauti na wa Kariakoo.

Unafika Africana, unaanza kustuka huku ninakoenda si Kariakoo.

Lakini unasema nishakwenda mbali sana, ngoja niendelee huko mbele Tegeta mpaka Bagamoyo labda kuna shortcut ya kunifikisha Kariakoo haraka.

Unaendelea kwenda kaskazini, muelekeo tofauti na Kariakoo, kwani Kariakoo iko kusini kwako.

Serikali ilitakiwa ijitoe kwenye biashara ya usafiri wa ndege na kujikita katika kujenga viwanja vya ndege na kukusanya kodi.

Kwa kuongeza idadi ya ndege bila ya business plan ya kueleweka, kitakachotokea ni ile hasara tuliyopata mpaka sasa tunaenda kuiongeza.

It's just simple common sense.
 
Acha uongo wewe kenge, hospital zote mpya walizojenga hazijaanza Kazi,vituo vya afya ndio kabisaa na kama umesikia Ummy anasema kipaombele kwa sasa.ni kununua vifaa tiba,kumalizia majengo na kuajiri watumishi Ili zianze kufanya Kazi.

Nina uhakika na ninachoongea,hizo unazosema wewe ni vituo vya afya au hospital zilizokuwepo ila zimeboreshwa kiasi lakini zile mpya hakuna inayofanya kazi
Sasa matusi ya nini mzee wangu, unapata faida gani kwa kuandika matusi hapa? Je ungejibu tu kuwa bado zote hazijapata vifaa ungeonekana mjinga? Mimi nina uhakika kuwa hospital ya kijijini kwetu ina vifaa na madaktari mpaka inafanya upasuaji siku hizi! Kama siyo zote ziko katika hali hiyo tufahamishane tu kuliko kutukanana hapa. Halafu tunaposema hospitali mpya haina maana ya kuwa hakukuwa na kitu, ya kwetu ilikuwa ni zahanati ambayo ndiyo imejengwa upya, ina maana tayari kulikuwa na structure fulani.
 
Habarini ndugu,

Katika makadirio ya bajeti ya mwaka 2021/2022 serikali imeliomba bunge liidhinishe shilingi bilioni 500 kwa ajili ya ununuzi wa ndege mpya.

Naomba nipewe mrejesho, km kweli bunge limeidhinisha hiyo pesa. Maana huo, utakua ni ubadhirifu wa fedha za umma
 
Habarini ndug,

Katika makadirio ya bajeti ya mwaka 2019/2020,serikali imeliomba bunge liidhinishe shilingi bilioni 500 kwa ajili ya ununuzi wa ndege mpya.

Naomba nipewe mrejesho, km kweli bunge limeidhinisha hiyo pesa. Maana huo, utakua ni ubadhirifu wa fedha za umma
Hio Bajeti ya 2019/2020 inaombwa 2021?
[emoji847][emoji847]
 
Changamoto ni kwamba process za ununuzi wa ndege ni za tofauti kidogo. Ununuzi wa ndege mchakato wake ni kwa njia ya order i.e unaweka order mnaingia makubaliano na Kampuni ndipo inatengenezwa ndege kulingana na makubaliano yenu . Order ya ndege tatu anazosemea PM sio Order ya awamu ya sita Hii ni order ya Meko na utekelezaji wa order hizi upo katika final stages, kwani fedha nyingi zimeshalipwa tayari. Hivyo serikali haina namna ya kukataa order Hii kwan gharama ya order cancellation ni burden kubwa zaidi. In fact Ni hasara mpya inakuja Tukutane na CAG mwakani kujua ni bilioni ngapi zimeteketea!!
 
Unanunua midege kwa cash huku hela ya kununua dawa huna na hizo ndege zikupe faida sasa mapema hakuna...tunahitaji miaka 20 kuanza kuona other econimic benefits ya hizi ndege suala la direct financial profit kwa Africa tusahau labda miaka 200 ijayo...
 
Back
Top Bottom