Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
sawa mkuu nimeona.Acha kuliamini hilo Juha lililokudanganya kuwa Milango ya Ndege hufunguliwa na Mtu wa Nje.
Soma Post yangu @446 nimeielezea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuu nimeona.Acha kuliamini hilo Juha lililokudanganya kuwa Milango ya Ndege hufunguliwa na Mtu wa Nje.
Soma Post yangu @446 nimeielezea.
Na Wewe unaamini Uongo wa huyo Pang'ang'a ( Juha ) Mkonowatembo kuwa Mlango wa Ndege huwa Unafunguliwa kwa Nje au Mtu wa Nje?sawa mkuu nimeona.
Utakuwa unavikojoleo vya kike...sio kwa matusi hayo..Niwe 'Tomboy' kama Wewe au?
Hiyo kamba aliifunga nani kwenye ndege?Aliyeokoa abiria sio majaliwa bali ni abiria aliyekuwa ndani ya ndege. Majaliwa alizimia kabla mlango haujafunguliwa sababu kuna kamba ilifungwa ili boat ivute mlango ufunguke, hiyo kama ilikatika ikampiga mjaliwa akazimia na wavuvi walimwokoa.
Huyu jamaa ndo aliyeokoa watu wote na ndo alistahili haya matangazo
Mentality za hivi ni za kipuuzi sana, kwahiyo hata Mama Samia kafunguliwa milango ya Baraka hatuwezi kuzuia licha ya kwamba serikali yake imefeli Kila kitu? Au hata mtu ukiwa na cheti feki au umetoa rushwa kupata promotion basi tukae kimya sababu tu ni "bahati" na "mlango wa mafanikio umefunguliwa"!!Mimi ninachokisema mtu akifunguliwa njia za mafanikio hakuna atakayeweza kuzifunga ndicho kilichotokea, na hapo juu sijakiri bali nimeleta assumptions tu kulingana na vile mnapenda kusikia.
My take: majaliwa ameshapata ajira na zawadi kutoka kwa wadau tumuache ale mavuno ya ujasiri wake.
Mkuu relax machungu ya maisha usije kuyamalizia kwangu.Mentality za hivi ni za kipuuzi sana, kwahiyo hata Mama Samia kafunguliwa milango ya Baraka hatuwezi kuzuia licha ya kwamba serikali yake imefeli Kila kitu? Au hata mtu ukiwa na cheti feki au umetoa rushwa kupata promotion basi tukae kimya sababu tu ni "bahati" na "mlango wa mafanikio umefunguliwa"!!
Utakua mshirika wa Ministries sio bure
Kama 'Mamaako' vile.Utakuwa unavikojoleo vya kike...sio kwa matusi hayo..
Huko ulikoumekoswa wakukuna..
Tuache wivu wakuu, huyo dogo bahati yake tusiilalie mlango wazi kwa hali yeyote hata kama hajafungua yeye basi ameshiriki kuokoa watu hilo linatosha kuutambua msaada wake.
Na walioiharakisha hiyo Habari wanajulikana na Watanzania wengi kuwa Kiasili ni Wapumbavu na Waongo mno.Waliharakisha sana habari...
Sio machungu ila nyie ndio mnaturudisha nyuma sana. Unakuta jitu limeiba kura alafu unasema Mungu akipanga hakuna wa kuzuia.... Mara sijui ndio bahati yake... Mara sijui wakati wake wa kuketi na wakubwa umefika!! Sasa unajiuliza hivi Mungu anaweza kweli kutumia uongo kumpandisha mtu? Au Mungu anaweza ruhusu ajali na makumi kufa Ili "shujaa" Fulani aajiriwe?Mkuu relax machungu ya maisha usije kuyamalizia kwangu.
Shouger wwUmekumbuka lakini Kunywa Kidonge chako cha Tatizo la Akili ( Uwendawazimu Ulionao ) Ulilonalo?
Kama Baba yako vile.Shouger ww