Waziri mkuu Majaliwa: Wananchi wa Kigoma wanaongoza kwa kupenda kulipwa fidia na hivyo wanajicheleweshea maendeleo

Waziri mkuu Majaliwa: Wananchi wa Kigoma wanaongoza kwa kupenda kulipwa fidia na hivyo wanajicheleweshea maendeleo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema wananchi wa Kigoma Ujiji wanapenda sana kulipwa fidia pindi miradi mikubwa ya maendeleo kama Hospitali, bandari na barabara.

Majaliwa amesema kwa kufanya hivyo wana Ujiji wanajicheleweshea maendeleo wao wenyewe kwani kulipa fidia ni hisani siyo lazima.

Kadhalika Majaliwa amemtaka mwenyekiti wa baraza la madiwani na madiwani wake kuhakikisha ifikapo mwezi June wawe wamechimba visima vya kutosha mitaani.

Majaliwa amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa Kigoma Ujiji.

Source: ITV habari!
 
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema wananchi wa Kigoma Ujiji wanapenda sana kulipwa fidia pindi miradi mikubwa ya maendeleo kama Hospitali, bandari na barabara.

Majaliwa amesema kwa kufanya hivyo wana Ujiji wanajicheleweshea maendeleo wao wenyewe kwani kulipa fidia ni hisani siyo lazima.

Kadhalika Majaliwa amemtaka mwenyekiti wa baraza la madiwani na madiwani wake kuhakikisha ifikapo mwezi June wawe wamechimba visima vya kutosha mitaani.

Majaliwa amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa Kigoma Ujiji.

Source: ITV habari!
Kigoma sio ugogoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema wananchi wa Kigoma Ujiji wanapenda sana kulipwa fidia pindi miradi mikubwa ya maendeleo kama Hospitali, bandari na barabara.

Majaliwa amesema kwa kufanya hivyo wana Ujiji wanajicheleweshea maendeleo wao wenyewe kwani kulipa fidia ni hisani siyo lazima.

Kadhalika Majaliwa amemtaka mwenyekiti wa baraza la madiwani na madiwani wake kuhakikisha ifikapo mwezi June wawe wamechimba visima vya kutosha mitaani.

Majaliwa amesema hayo kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa Kigoma Ujiji.

Source: ITV habari!
Utapeli mkubwa! Sasa anataka watu wakose haki zao? Mbona kwao Ruangwa ndugu zake wanalipwa fidia
 
Back
Top Bottom