JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Ameyasema hayo wakati wa Kipindi cha Maswali na Majibu leo Mei 12, 2022, Bungeni Jijini Dodoma.
“Mahakama hizo zinazotembea zinatakiwa kununuliwa kwa wingi ili ziende zikatoe huduma katika Wilaya zote hadi wananchi wa Vijijini wasitumie gharama kubwa ya nauli kwenda kupata haki zao za kisheria.
“Wizara ya Katiba na Sheria itatueleza mpango wake wa kuongeza mahakama zinazotembea, niwasiii Wabunge wapitishe bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ili wanunue magari yatakayotumika,” – Waziri Mkuu