LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa. Mr. ZirooView attachment 1353214
Wanasiasa bana, hata wakikuaga usiku mwema inabidi uangalie nje kama giza kweli limeingia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa. Mr. ZirooView attachment 1353214
Wanasiasa bana, hata wakikuaga usiku mwema inabidi uangalie nje kama giza kweli limeingia.
Tuliokuwa tunamwita Ziro awamu ya tatu hatukukosea2005 alikuwa upande wa Salim Amed Salim akapigwa chini akakosa hata uwaziri kwenye serikali ya Kikwete.
2015 akamfuata fisadi Lowassa akaangukia tena pua na kukosa hata ukuu wa mkoa.
2020 anarudia tena kosa lilelile la kwenda kuunga mkono udikteta unaofikia mwisho oktoba na kuangukia pua.
Anguko la Sumaye ni funzo kwa vijana wanaojifunza siasa.
Mkuu;
Sentensi yako ya kwanza kwenye thread imeonyesha huijua hata historia ya Sumaye katika siasa!
Mtu aliyekuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10 ulitaka awe waziri tena kwenye serikali ya Awamu ya nne?
Aya! hata uwenyekiti wa bodi ya maziwa??Mkuu;
Sentensi yako ya kwanza kwenye thread imeonyesha huijua hata historia ya Sumaye katika siasa!
Mtu aliyekuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10 ulitaka awe waziri tena kwenye serikali ya Awamu ya nne?
Kiasili yeye siyo mwanasiasa,Ni mtendaji,nasikia aliwahi kuwa bwana mifugo ,Sina hakika Sana,hana bahati, isitoshe hawezi siasa kabisa huyu, maana sionagi sumu zake, hana saundi ni kama mtendaji tu
Hahahahaaaa wale jamaaa uwezo wao wa kiuongozi ni mdogo sana huyu ndiye alikuwa waziri mkuu imagine hii nchi angeifanyia nini?? Wanabebwa na mfumo tu wa CCM lakini hawana uwezo wa vigezo vya kutuongoza.2005 alikuwa upande wa Salim Amed Salim akapigwa chini akakosa hata uwaziri kwenye serikali ya Kikwete.
2015 akamfuata fisadi Lowassa akaangukia tena pua na kukosa hata ukuu wa mkoa.
2020 anarudia tena kosa lilelile la kwenda kuunga mkono udikteta unaofikia mwisho oktoba na kuangukia pua.
Anguko la Sumaye ni funzo kwa vijana wanaojifunza siasa.
Na hiyo fidia itatokana na kodi zetu au zitatoka mfuko wa CCM? kama ni kweli basi hii nchi inahitaji maombi ya kufunga na kuombaMasharti ya Sumaye ya kujidhalilisha na kula matapishi yake na kukiuka viapo vya gizani na hadharani alivyojiapisha ni pamoja na kurejeshewa eneo lake la Mabwepande na shamba lake la Morogoro aliloporwa kwa sababu alihamia Chadema mwaka 2015 , ikiwa kama hilo limeshindikana basi alipwe fidia kwa thamani ya sasa .
Hii ndio ccm ya sasa ambayo kuna rais mmoja mstaafu ambaye amekuwa dalali wa mambo haya , haijulikani kama dalali huyu ambaye anafanya haya kama anapewa 10% au lah .
Mungu kishaachana na nchi hii, hata mkifunga na kuomba hapokei maombi yenu.Na hiyo fidia itatokana na kodi zetu au zitatoka mfuko wa ccm?kama ni kweli basi hii nchi inahitaji maombi ya kufunga na kuomba
Kufirisiana kumkomoa mpinzani wako ni siasa za kishambaChini ya jua ni ubatili mtupu.Mara nyingi jambazi akiasi kundi lake habaki salama wenzake watamwandama kumuangamiza. Bora alipata mbinyo wa kiuchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app