Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Aisee ni hatari sana Mungu atusimamie kwenye hili maana wao badala ya kujadili hili tatizo wameona la msingi ni kukuza uchumi kupitia mitandao huku Wananchi wakizungukwa na magonjwa Nchi ya ajabu sana hii ule upendo tuliokua nao sijui umepotelea wapi Watanzania...