Waziri Mkuu: Treni ya SGR kuanza majaribio Julai 2021

Juzi kati nimeona gari la kawaida limevishwa tairi za train linapita kwenye hiyo reli sikuelewa dhamira ilikuwa ni nini
 
Majaribio tayari au?
 
majaliwa alishajivunjia heshima kwa sababu ya kauli zake za uongo zinazojirudia-rudia. He is not reliable hawezi kusema kitu, jamii ikamuamini. ni wazi kuna tatizo SGR lakini mlipakodi anayeigharamia SGR haambiwi ukweli. Muda una waumbua. Jitafakari, pima gharama za kusema ukweli vs kusema uongo kwenye jamii mnayoitumikia. Jibu mnalopata very embarrassing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…