Waziri Mkuu wa Canada na Rais Mexico wamekataa kuwa wanyonge mbele ya Trump

Waziri Mkuu wa Canada na Rais Mexico wamekataa kuwa wanyonge mbele ya Trump

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Baada ya Rais donald trump wa marekani kupost kwenye mtandao wake wa X kuwa bidhaa yeyote inayotoka canada,Mexico na china zitaanza kuliko ushuru wa 25% ya bidhaa izo kabla ya kuingia usa kitu ambacho kwa mawazo ya trump anaamini kitakuza uchumi wa Marekani

Na pia kitafanya company nyingi za marekani kukimbia nchi izo na kurudi kuwekeza zaidi usa

Kutokana na tax zitaongezeka na kufanya kampuni zote zishindwe kuzalisha kwa uwingi

Ubabe huu wa trump anaamini labda Canada na Mexico zitampigia magoti

Kutokana na utuba ya Rais wa mexico ametoa utuba kuwa

Kutokana kauli ya Trump

Mexico itaongeza ushuru pia kwa bidhaa yeyote ya marekani ambayo inapatikana Mexico na kuongeza ushuru kwa biashara yeyote ya marekani ambayo wanafanya na Mexico.

Waziri mkuu pia wa Canada justin trudeau amesema Canada itaangalia jinsi Canada ya kufanya expédition na china na kwakuongezea kusema ni wakati wa canada sasa kuwa huru kuchagua ni nani awe rafiki na nchi gani ya kufanya nayo biashara bila kuingiliwa na yeyote yule

Pia ataongeza ushuru kwa bidhaa yeyote ya usa ambayo inapatikana Canada

Canada watafanya biashara ya mafuta kwa dollars ya Canada kitu ambacho kitatikisa uchumi wa usa
Uku waziri mkuu wa mkoa wa Québec amesema Québec watakata umeme wao ambao unawasha baadhi ya mikoa ya usa kama New York

Uku waziri mkuu wa Canada pia akishtumu usa kufazili vyama vya wauni kufanya mauaji Canada
 
Ngoma inogile.

Uku Tui la Nazi uku Maziwa. Show show
 
Kuongea tu mbona ni rahisi sana.Hata vikundi vya kihuni kama Hamas,Hezbollah,Bokoharam nk hutoa kauli za kuchekesha dunia kadiri cocaine na bangi mbichi zilivyowakolea ubongoni.
 
Kuongea tu mbona ni rahisi sana.Hata vikundi vya kihuni kama Hamas,Hezbollah,Bokoharam nk hutoa kauli za kuchekesha dunia kadiri cocaine na bangi mbichi zilivyowakolea ubongoni.
Kwa hiyo unataka kusema Canada na Mexico ni wahuni ?
 
Aiseeh kuna watu wajinga sana dunia hii.
Ungeeleza tu Canada inaizidi kipi USA hata kiuchumi tu.Halafu unarudi kwa Mexico na yenyewe unaorodhesha inavyoizidi USA,basi.Kuanza kufikiri bila kufikiri kwamba kuna watu wajinga duniani hadi unawaonea wivu utafikiriwa ni kajinga fulani hivi!
 
h
Ungeeleza tu Canada inaizidi kipi USA hata kiuchumi tu.Halafu unarudi kwa Mexico na yenyewe unaorodhesha inavyoizidi USA,basi.Kuanza kufikiri bila kufikiri kwamba kuna watu wajinga duniani hadi unawaonea wivu utafikiriwa ni kajinga fulani hivih

Hana jibu hata moja mkuu kwa maswali haya
 
Wana kipi cha kuisumbua USA kama raia wao kila leo wanatorokea huko?Wapunguze ukarunguyeye wao.
Na Raia wa Usa hawaendi Mexico na Canada?

Kwa mwaka si chini ya Raia milioni 1 wa Usa wanavuka boda kwenda Mexico kutibiwa, sababu Gharama ni kubwa Usa, Mexico na wao wanapiga tu pin.

Kama Hujui Usa ana Trade Deficit na Mexico anamhitaji zaidi Mexico kuliko Mexico anavyomhitaji Usa.

Pia Usa ana Trade Deficit na Canada.
 
Na Raia wa Usa hawaendi Mexico na Canada?

Kwa mwaka si chini ya Raia milioni 1 wa Usa wanavuka boda kwenda Mexico kutibiwa, sababu Gharama ni kubwa Usa, Mexico na wao wanapiga tu pin.

Kama Hujui Usa ana Trade Deficit na Mexico anamhitaji zaidi Mexico kuliko Mexico anavyomhitaji Usa.

Pia Usa ana Trade Deficit na Canada.
Kuna upande mmoja wanaenda kihalali na kwa shughuli/matembezi maalumu.Na pande zingine hutorokea USA kufuata ajira/fursa na maisha mazuri.
 
Ungeeleza tu Canada inaizidi kipi USA hata kiuchumi tu.Halafu unarudi kwa Mexico na yenyewe unaorodhesha inavyoizidi USA,basi.Kuanza kufikiri bila kufikiri kwamba kuna watu wajinga duniani hadi unawaonea wivu utafikiriwa ni
Hahahaha
Ungeeleza tu Canada inaizidi kipi USA hata kiuchumi tu.Halafu unarudi kwa Mexico na yenyewe unaorodhesha inavyoizidi USA,basi.Kuanza kufikiri bila kufikiri kwamba kuna watu wajinga duniani hadi unawaonea wivu utafikiriwa ni kajinga fulani hivi!
Mafuta oil
Food
Lumbers
Medication
Eletricite
Hiyo ni Canada
Mexico
No food
 
Na Raia wa Usa hawaendi Mexico na Canada?

Kwa mwaka si chini ya Raia milioni 1 wa Usa wanavuka boda kwenda Mexico kutibiwa, sababu Gharama ni kubwa Usa, Mexico na wao wanapiga tu pin.

Kama Hujui Usa ana Trade Deficit na Mexico anamhitaji zaidi Mexico kuliko Mexico anavyomhitaji Usa.

Pia Usa ana Trade Deficit na Canada.
Ulichokiongeza ni uongo mtupu.USA aihitaji Mexico zaidi?Labda lile la kupata vibarua wa bei mchekea kwenye kazi za hovyo.Mfano tu,ni Trumpa mtu anayeijua biashara na faida zake asingekuwa anawakataa watu hao.
 
Baada ya Rais donald trump wa marekani kupost kwenye mtandao wake wa X kuwa bidhaa yeyote inayotoka canada,Mexico na china zitaanza kuliko ushuru wa 25% ya bidhaa izo kabla ya kuingia usa kitu ambacho kwa mawazo ya trump anaamini kitakuza uchumi wa Marekani

Na pia kitafanya company nyingi za marekani kukimbia nchi izo na kurudi kuwekeza zaidi usa

Kutokana na tax zitaongezeka na kufanya kampuni zote zishindwe kuzalisha kwa uwingi

Ubabe huu wa trump anaamini labda Canada na Mexico zitampigia magoti

Kutokana na utuba ya Rais wa mexico ametoa utuba kuwa

Kutokana kauli ya Trump

Mexico itaongeza ushuru pia kwa bidhaa yeyote ya marekani ambayo inapatikana Mexico na kuongeza ushuru kwa biashara yeyote ya marekani ambayo wanafanya na Mexico.

Waziri mkuu pia wa Canada justin trudeau amesema Canada itaangalia jinsi Canada ya kufanya expédition na china na kwakuongezea kusema ni wakati wa canada sasa kuwa huru kuchagua ni nani awe rafiki na nchi gani ya kufanya nayo biashara bila kuingiliwa na yeyote yule

Pia ataongeza ushuru kwa bidhaa yeyote ya usa ambayo inapatikana Canada

Canada watafanya biashara ya mafuta kwa dollars ya Canada kitu ambacho kitatikisa uchumi wa usa
Uku waziri mkuu wa mkoa wa Québec amesema Québec watakata umeme wao ambao unawasha baadhi ya mikoa ya usa kama New York

Uku waziri mkuu wa Canada pia akishtumu usa kufazili vyama vya wauni kufanya mauaji Canada
Utuba x ,, hotuba ✓✓
 
Ulichokiongeza ni uongo mtupu.USA aihitaji Mexico zaidi?Labda lile la kupata vibarua wa bei mchekea kwenye kazi za hovyo.Mfano tu,ni Trumpa mtu anayeijua biashara na faida zake asingekuwa anawakataa watu hao.
Sababu unaskia watu wana cross Mexico border UNAFKIRI Mexico ni maskini kihivyo? Watu wa Nchi nyengine wanatumia Border ya Mexico, ila Mexico ni katika mataifa tajiri Duniani.


Soma Trade Deficit hapo, Mexico ana Supply bidhaa nyingi Usa kuliko Usa anavyo suoply Mexico, trade deficit ni $131B in favour of Mexico.
 
Sababu unaskia watu wana cross Mexico border UNAFKIRI Mexico ni maskini kihivyo? Watu wa Nchi nyengine wanatumia Border ya Mexico, ila Mexico ni katika mataifa tajiri Duniani.


Soma Trade Deficit hapo, Mexico ana Supply bidhaa nyingi Usa kuliko Usa anavyo suoply Mexico, trade deficit ni $131B in favour of Mexico.
Acha sound nyingi.Katika mataifa ishirini duniani yenye uchumi/pato kubwa,Mexico ni ya ngapi?
 

Attachments

  • Screenshot_20241128-134522_Facebook.jpg
    Screenshot_20241128-134522_Facebook.jpg
    339.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241128-135206_Facebook.jpg
    Screenshot_20241128-135206_Facebook.jpg
    329.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom