Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Mtasubiri sana hapo Tz.
Kwani wewe upo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtasubiri sana hapo Tz.
Ifakara.Kwani wewe upo wapi?
Iweke vizuri hii mkuu.I think hayo sio maendeleo ya kidiplomasia Bali ni ile Tsheked anataka tu kupunguza kelele za watu Congo.
Kung'atuka ni nini na kujiuzulu ni nini?Waling'atuka; hawakujiuzulu
Kung'atuka ni nini na kujiuzulu ni nini?
Kwa sababu wewe unadhani kila kazi inaweza kufanywa kwa kifurushi cha Tigo mtandaoni!??? Hembu kakagulie miradi ya uwekezaji huko mitandaoni tuone?!
Huyo Mataga aliuliza juu ya kuwahi kazini mtu akiwa anafanya kazi New York!! Siyo kwenu Bongo hata kupata internet mpaka JIWE awape ruhusa!!
Kilichotangulia ni kura ya kutokuwa na imani nayeUnazungumzia kura ya kutokuwa na imani au kujiuzulu?
Kura ya kutokuwa na imani wabunge wa Tanzania walitaka kumpigia Mizengo Pinda, ikazimwa bungeni.
Tanzania Uwaziri Mkuu Nyerere alijiuzulu (Tanganyika), Sokoine alijiuzulu, Lowassa alijiuzulu.