Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Tuombe ip address tumtafutešAcha hayo mambo mkuu wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe ip address tumtafutešAcha hayo mambo mkuu wangu
DaahTuombe ip address tumtafuteš
Hapana sijakasirika kabisa mjomba nashauri tu kwani nyie wakuu mnasemaje labda kuhusu hiloSasa mjomba unakasirika nini? Kwani ni siri hiyo?
HahahahaRisasi tu ndiyo Hadi atangaze?wakati sisi jeshi letu Bora namba Moja afrika (Rwanda defence force) wanatengeneza magari ya kivita
Nasikia jeshi la Rwanda limepewa jina la utani Rwanda Social media defense force kule UbelgijiRisasi tu ndiyo Hadi atangaze?wakati sisi jeshi letu Bora namba Moja afrika (Rwanda defence force) wanatengeneza magari ya kivita
Kwa nini niache?Acha hayo mambo mkuu wangu
Sisi wakuu tunasema the more unavo ignore mambo ya mitandaoni ndio the best stratergy kuliko kuzia. Ukijifanya unataka kuzuia rumors na kupambana nazo ndio unavozidi kuzipa nguvu. Au unaonaje?Hapana sijakasirika kabisa mjomba nashauri tu kwani nyie wakuu mnasemaje labda kuhusu hilo
Akasome na hiliSasa mjomba unakasirika nini? Kwani ni siri hiyo?
Hiyo ndio level of uzalendo mtu anaweza akawa proud of na kutoka mbele ya watu kifua mbele na vitisho juu. Lakini uzalendo wa kulalamika kupanda kwa bei ya mkate au uongozi incompetent hatuna. Hebu imagine jamaa from no where anakomaa na kujiona protector na mzalendo hata neno Mzinga lisisemwe wakati wenyewe mpaka website wanayo. Hao ndio wale unawakuta Dodoma wanavaa kaunda na kunyoa ndevu huku wakiwa serious mda wote wakijipa vyeo mbali mbali vya kizalendo. šš
Nilitaka kuandika kitu kama hiki; I think kilikua kwenye ile karakana ya Mang'ula, walikua wanatengeneza almos everything, hadi kufanya rebuild ya baadhi ya machine enzi za Nyerere, Mwinyi na mwanzoni mwa Mkapa; baada ya hapo tukaona tujikite kwenye siasa, mambo ya uchumi tukaachana nayoTanzania ilianza haya mambo kitambo sana kule Morogoro kama sikosei
Hicho unanunua risasi kumi nne zinapiga sita zinamissfireTanzania ilianza haya mambo kitambo sana kule Morogoro kama sikosei