Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiri kuwa vita vya Gaza vinawagharimu sana wakati idadi ya vifo vya wapiganaji wa IDF ikiongezeka katika ardhi ya Palestina iliyozingirwa. Matamshi ya Netanyahu yamekuja baada ya IDF kutangaza kwamba wanajeshi 14 wa Israel waliuawa mwishoni mwa wiki wakati wa mapigano huko Gaza. Netanyahu hata hivyo ameapa kuendelea na vita vya Gaza hadi pale Hamas itakapoondolewa.
Wapalestina wanaongeza mashambulizi:
Your browser is not able to display this video.
Muono wangu; mazayuni wakikiri kuuliwa 14 ujuwe hapo ni 140, siku zote wanatoa namba ndogo sana ya askari wao wanaouliwa kucheza na saikolojia ya watu, waonekane kuwa wao hawafi. Wanaleta mambo ya hollywood, mbabe hafi.
Muono wangu; mazayuni wakikiri kuuliwa 14 ujuwe hapo ni 140, siku zote wanatoa namba ndogo sana ya askari wao wanaouliwa kucheza na saikolojia ya watu, waonekane kuwa wao hawafi. Wanaleta mambo ya hollywood, mbabe hafi.
Hamas kamatieni hapo hapo magaidi yashaanza kutoa milio
Naungana na mtoa mada haya magaidi ya kizayuni yakisema yamekufa 14 basi ongeza sifuri moja ama namba yeyote Hapo mbele
Hizo ndiyo zao, ukweli ni kuwa vita wanyoiweza ni hiyo ya kutumia silaha za mbali, uso kwa uso wanalambwa mpaka waziri wao mkuu anakiri kuchezea kichapo.
Hamas kamatieni hapo hapo magaidi yashaanza kutoa milio
Naungana na mtoa mada haya magaidi ya kizayuni yakisema yamekufa 14 basi ongeza sifuri moja ama namba yeyote Hapo mbele
Leo kanifurahisha sana Kamanda wa HezboLlah, anasema walizungumza na Hams ili walianzishe vita la uhakika huko mpakani, maana mpaka sasa mikono inawawasha. Hamas wakawazuia wakawaambia tuwacchieni hawa hapahapa tutawanyoosha, hatukukisia tulipowashambulia 7-10 tumejipanga vilivyo, wakakubaliana basi Hamas waendelee na hezbollah hawajatulizana wanapeleka salaam zao Israel kila siku:
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiri kuwa vita vya Gaza vinawagharimu sana wakati idadi ya vifo vya wapiganaji wa IDF ikiongezeka katika ardhi ya Palestina iliyozingirwa. Matamshi ya Netanyahu yamekuja baada ya IDF kutangaza kwamba wanajeshi 14 wa Israel waliuawa mwishoni mwa wiki wakati wa mapigano huko Gaza. Netanyahu hata hivyo ameapa kuendelea na vita vya Gaza hadi pale Hamas itakapoondolewa.
Muono wangu; mazayuni wakikiri kuuliwa 14 ujuwe hapo ni 140, siku zote wanatoa namba ndogo sana ya askari wao wanaouliwa kucheza na saikolojia ya watu, waonekane kuwa wao hawafi. Wanaleta mambo ya hollywood, mbabe hafi.
ni kweli. kati ya vita zote, israel hii vita ndio ameumizwa sana na hadi sasaivi haoni mwanga, though ana uhakika atashinda. hii inatokana na wayahudi kujisahau wakifikiri wapalestina ni walewale waliozoea kuwasambaratisha kirahisi, kumbe wamejiandaa kwa miaka mingi wakichimba mahandaki, wakikusanya silaha na kutrain vijana wengi kuwa makomandoo wa vita.
ukweli ni kwamba, ukichukua askari mmoja wa wayahudi weka pale, na chukua hamas mmoja weka hapo, wawe na silaha au wasiwe na silaha, afu sema hao wawili wapigane, asilimia kubwa ya kushinda itakuwepo kwa hamas. Iran amewatrain vizuri sana na kwa miaka mingi, wakati askari wengi wa Israel wanatoka reserve, sio makomandoo, ni vijana wadogo ambao wameenda kujifunza vita kidogo tu. pia Israel hapigani vita na wapalestina peke yao, anapigana na dunia nzima, manake kila anapoendelea kupigana dunia nzima wanaandamana na kumlaumu na kumrushia maneno, jambo linalorudisha morali na kumfanya apigane vita kwa kutumia akili nyingi ili apunguze vifo. la sivyo, raia wengi wa israel walikuwa wanashauri bom lipigwe tu pale afu ajiuzulu, ni jambo baya sana waliwaza. we are just praying that war ends kwasababu raia wengi sana wanakufa tena upande mmoja tu. upande wa israel wanakufa wanajeshi, hao hatuumii kwasababu mwanajeshi akienda vitani yupo tayari kufa na ni ruksa kumuua. shida inakuja kwa raia wa palestina. wanakufa sana kwa kweli.
Leo kanifurahisha sana Kamanda wa HezboLlah, anasema walizungumza na Hams ili walianzishe vita la uhakika huko mpakani, maana mpaka sasa mikono inawawasha. Hamas wakawazuia wakawaambia tuwacchieni hawa hapahapa tutawanyoosha, hatukukisia tulipowashambulia 7-10 tumejipanga vilivyo, wakakubaliana basi Hamas waendelee na hezbollah hawajatulizana wanapeleka salaam zao Israel kila siku:
ni kweli. kati ya vita zote, israel hii vita ndio ameumizwa sana na hadi sasaivi haoni mwanga, though ana uhakika atashinda. hii inatokana na wayahudi kujisahau wakifikiri wapalestina ni walewale waliozoea kuwasambaratisha kirahisi, kumbe wamejiandaa kwa miaka mingi wakichimba mahandaki, wakikusanya silaha na kutrain vijana wengi kuwa makomandoo wa vita.
ukweli ni kwamba, ukichukua askari mmoja wa wayahudi weka pale, na chukua hamas mmoja weka hapo, wawe na silaha au wasiwe na silaha, afu sema hao wawili wapigane, asilimia kubwa ya kushinda itakuwepo kwa hamas. Iran amewatrain vizuri sana na kwa miaka mingi, wakati askari wengi wa Israel wanatoka reserve, sio makomandoo, ni vijana wadogo ambao wameenda kujifunza vita kidogo tu. pia Israel hapigani vita na wapalestina peke yao, anapigana na dunia nzima, manake kila anapoendelea kupigana dunia nzima wanaandamana na kumlaumu na kumrushia maneno, jambo linalorudisha morali na kumfanya apigane vita kwa kutumia akili nyingi ili apunguze vifo. la sivyo, raia wengi wa israel walikuwa wanashauri bom lipigwe tu pale afu ajiuzulu, ni jambo baya sana waliwaza. we are just praying that war ends kwasababu raia wengi sana wanakufa tena upande mmoja tu. upande wa israel wanakufa wanajeshi, hao hatuumii kwasababu mwanajeshi akienda vitani yupo tayari kufa na ni ruksa kumuua. shida inakuja kwa raia wa palestina. wanakufa sana kwa kweli.
Toka lini mukawa na huruma na magaidi ya kiislam
Hamas wanawapelekea moto mpaka mnaanza kuhangaika hangaika
Kuua raia waso hatia israhell ishazoea haijaanza baada ya October 7 nawala haitaishia hapo
Endeleeni tu
Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu
Yote haya yanatoka kwenye vyombo vya habari na vyanzo vyake vipo> Tafsiri kwa msaada wa google. Israel yatoa taarifa ya kushangaza leo ambapo maafisa wa serikali wanachukulia kwa uzito hivi karibuni kuongezeka kwa wakristo kutemewa mate na Mashambulizi dhidi ya makasisi na uharibifu wa Tovuti...
Raundi hii Israel haicheki tena, yaani inatunisha misuli kote maana ni dhahiri hawa waarabu na dini yao hamna siku watakuja kukubali kuishi na Wayahudi kwa amani,==================
The IDF has allegedly informed Egypt of its intention to occupy the Rafah border area and asked Egyptian soldiers to evacuate the area, Arab media reported.
The IDF informed Egypt of its intention to occupy the border area on the "Philadelphi" Rafa route and asked the Egyptian soldiers to clear the border, as reported on Saturday in the Arab media.
The report also stated that the IDF emphasized to the Egyptians that from now on the IDF would not be responsible for the security of Egyptian forces in the area, while the IDF is attempting to occupy the border area, and emphasized that the military operation in the area will continue whether Egypt agrees or
Bangi mimi najifukiza, nachanganya na oud pia nafanya na mboga ya kulia ubwabwa, nachanganya na dagaa papa kwa tui la kwanza la nazi. Hapo hakuna korona wala kupata mafua kijinga. Bangi ni dawa kubwa sana kwa tunaoielewa.
Nani aharibu mapafu kuvuta? Huyo ni mjinga tu, Unantazama kwa uoga?
Bangi mimi najifukiza, nachanganya na oud pia nafanya na mboga ya kulia ubwabwa, nachanganya na dagaa papa kwa tui la kwanza la nazi. Hapo hakuna korona wala kupata mafua kijinga. Bangi ni dawa kubwa sana kwa tunaoielewa.
Nani aharibu mapafu kuvuta? Huyo ni mjinga tu, Unantazama kwa uoga?
Kabisa, tena usivute bangi ni mbaya kwa afya yako.
Unaweza kuikaanga kwa dagaa na manyanya mavitunguu, rojo rojo ukalia na ugali, inakuwa bomba sana, au unaipika kwa nazi kama nnavyofanya mimi.
Ya kujifukiza na oud unapata manukato ya kipekee, Gozi langu (mume wangu) anaipenda sana hiyo harufu unique, mwenyewe huwa ananiletea bangi mbichi naichanganya na udi naupika, nakausha halafu natumia kidogo kidogo kujifukiza.
Maujuzi hayo kwa mabinti, nawapa siri za ndani leo. Usichanganye bangi kavu na oud. Hiyo inatakiwa iwe bangi mbichi unaitwanga na mbegu zake unaipika na oud wa mawardi.
Kabisa, tena usivute bangi ni mbaya kwa afya yako.
Unaweza kuikaanga kwa dagaa na manyanya mavitunguu, rojo rojo ukalia na ugali, inakuwa bomba sana, au unaipika kwa nazi kama nnavyofanya mimi.
Ya kujifukiza na oud unapata manukato ya kipekee, Gozi lanu (mume wangu) anaipenda sana hiyo harufu unique, mwenyewe huwa ananiletea mangi mbichi naichanganya na udi naupika, nai*ukausha halafu natumia kidogo kidogo.
Maujuzi hayo kwa mabinti, nawapa siri za ndani leo.