FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #21
Sasa anakiri Hamas ni ngoma nzito, mwambieni kuna wengine hao wameibuka wanaitwa The Ghosts.Heading ya Uzi Ndio Salamu za Waziri mkuu wa Israel mh Netanyahu kuelekea Mwaka Mpya kwa Wapenda Amani duniani kote
Netanyahu amesema Dunia inayokuja haina sehemu ya kupumulia Magaidi
Source Al jazeera news
Kama hawatoshi, mwambieni sasa Hezbollah imeongeza mashambulizi, leo imesambaratisha kituo kizima cha kijeshi, jionee: