Waziri Mkuu wa Quebec na alama ya Kimasoni

Waziri Mkuu wa Quebec na alama ya Kimasoni

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
Wiki hii iliyopita waziri mkuu wa jimbo la Quebec la kanada alifanya press conference kuzungumzia masuala ya ugonjwa huu.
Alionekana akitoa ishara ya kimasoni kabla ya mkutano kuanza.


Nini maana yake?
Hapa chini anaonekana amefumba jicho moja.

Screen Shot 2021-09-10 at 8.18.31 AM.png

Je, ana chongo?
Anaumwa jicho?
Hapana.

Hiyo ni alama nyingine ya kimasoni.
Ni sawa na hizi hapa:
Screen Shot 2021-09-10 at 8.10.07 AM.png


KITENDAWILI?
Je, huyu ni nani?

1631251867251.png

Je, anaumwa jicho?
Anaogopa mwanga?

Je, ninachotaka kusema ni nini?
Jua aina ya watu tunaokabiliana nao sisi kama human species.

Dunia inaendelea kupangwa;
And not in a good way AT ALL.
 
Kwa maana hiyo kila mtu ni free mason duniani,maana kila mtu ashawahi kufanya hiyo ishara
Hoja yako ni ya msingi, lakini hebu tumia information hii kama kichocheo cha kusaka taarifa zaidi. Mimi siwezi kukueleza KILA KITU. Ukifanya hivyo, utashangazwa na utakayokutana nayo. Mfano, video hii ni ndefu sana, lakini ukijipa moyo ukaizikiliza hadi mwisho, utajua mambo ambayo yatabadili mtazamo wako maisha yako yote. Utakuwa kama umetoa blangeti machoni. Kwa hiyo, ni wewe tu mkuu. Kejeli hazimsaidii yeyote. Hata Dead Man na Consigliere nanyi nawachallenge pia kutazama video hii

 
Hoja yako ni ya msingi, lakini hebu tumia information hii kama kichocheo cha kusaka taarifa zaidi. Mimi siwezi kukueleza KILA KITU. Ukifanya hivyo, utashangazwa na utakayokutana nayo. Mfano, video hii ni ndefu sana, lakini ukijipa moyo ukaizikiliza hadi mwisho, utajua mambo ambayo yatabadili mtazamo wako maisha yako yote. Utakuwa kama umetoa blangeti machoni. Kwa hiyo, ni wewe tu mkuu. Kejeli hazimsaidii yeyote. Hata Dead Man na Consigliere nanyi nawachallenge pia kutazama video hii ----

Asante ngoja tuitazame
 
Wabongo mawazo yenu yamekaa kiuchawi uchawi tu ndio maana umasikini umewajaa.
Umaskini utatoka siku tukimjua adui yetu ambaye ni yule anayekukopesha na unaanza kulipa madeni toka kizazi hadi kizazi. Lakini pia unamsikiliza kwa kila kitu na hutaki kufungua mawazo yako ujione kuwa unaweza - kama alivyoanza kutufungua Magufuli.
 
Eti....au hajui hata Allah mwenyewe ana jicho moja
Mm naona unaropoka...!!
Rejea hapa

Imepokewa kutoka kwa ‘Ubaadah bin as-Swaamit (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Nimekuelezeni mengi mno kuhusu Dajjaal na kwamba (bado) ninahofia hamutafahamu. Atakuwa ni mwenye jicho moja, jicho lake likiwa halijatokeza nje wala halijazama. Iwapo mutapata utata kuhusiana naye, basi kumbukeni kwamba Mola wenu sio mwenye jicho moja.”
[Abu Daawuud. Hadiyth hii ni sahihi – Swahiyhul-Jaami’ as-Swaghiyr]


##########
imepokewa kutoka kwa Ibn ‘Umar (Radhiya Allaahu ‘anhuma) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amelitaja (jina la) Dajjaal kwa watu na kusema: “Allaah Hana jicho moja, lakini Masiyh wa uongo (al-Masiyhud-Dajjaal) ni mwenye jicho moja (chongo), kipofu na mlemavu kwenye jicho lake la kulia, na jicho lake likionekana kama ni zabibu inayoogelea...”

[Imepokewa na Al-Bukhaariy

Sisi tumeshataadharishws nae huyo hizo shamra shamra zao wazungu tu kumpokea

Katika riwaya nyingine Atapokelewa na Wayahudi 72 elfu watamuwekea capert jekundu....!
 
Back
Top Bottom