Waziri Mkuu wa Quebec na alama ya Kimasoni

Waziri Mkuu wa Quebec na alama ya Kimasoni

Maswali hayo yote ndiyo central questions kabisa. Na majibu yake ni NDIYO. Isipokuwa swali la 2, eneo linaweza kuwa na kiongozi wake lakini One World Government itakuwa na mkubwa mmoja tu. Na umoja wa mataifa ndio itakuwa serikali kuu, huku jeshi lake likipewa uwezo wa kuwa deployed kokote duniani.

Ndio maana jambo kubwa wanalofanya sasa ni kubaini IDENTITY ya kila mwanadamu, ili wawe na uwezo wa kuku-track kokote uliko. Unaweza kusoma hapa ID2020 | Digital Identity Alliance

Fedha zitakazokuwepo ni cryptocurrency. Ndio maana ya patent ya bill gate WO2020060606 unayoweza kuisoma hapa - WO2020060606 CRYPTOCURRENCY SYSTEM USING BODY ACTIVITY DATA

Kwa kifupi hiyo itakuwa ni a totalitarian government kama unavyoona ya Korea ya kaskazini au china au ilivyokuwa nchi za kikomunisti.
Nilikupata vyema kwenye hiyo mada tajwa, ikikupendeza, weka uzi ambao utakuwa unashusha madini huko na ku-update kwa kila jipya na muelekeo wake, natumai wale tulio na interest na hayo mavitu tunajiunga na pengine magwiji wengi watatoa hoja na mijadala yenye afya, sio mbaya wakipatikana na wanasayansi wabobevu huko, kama yule Prof wa OUT, nadhani yumo humu na huwa anatoa elimu ya sayansi ya anga, nimesahau jina lake, akiwa mualikwa kwa mada kadhaa na opinions zake kisayansi, itasaidia kufufua hizi bongo zetu zilizolala, zenye kuwaza weekends na kulana kimasikhara.
 
Nilikupata vyema kwenye hiyo mada tajwa, ikikupendeza, weka uzi ambao utakuwa unashusha madini huko na ku-update kwa kila jipya na muelekeo wake, natumai wale tulio na interest na hayo mavitu tunajiunga na pengine magwiji wengi watatoa hoja na mijadala yenye afya, sio mbaya wakipatikana na wanasayansi wabobevu huko, kama yule Prof wa OUT, nadhani yumo humu na huwa anatoa elimu ya sayansi ya anga, nimesahau jina lake, akiwa mualikwa kwa mada kadhaa na opinions zake kisayansi, itasaidia kufufua hizi bongo zetu zilizolala, zenye kuwaza weekends na kulana kimasikhara.
Itakuwa ni jambo jema sana kama mawazo zaidi yatachangiwa kwa kweli. Vinginevyo huko tuendako si pazuri sana, maana wale wenzetu kile wanachosema kwa nje wanatumia lugha nzuri sana, lakini maana ya ndani ni hatari vibaya mno. Ukisikia malengo ya milenia au sustainable development unasema watu si ndio hawa? Hakuna kitu humo, ni mipango ya siri tupu iliyojaa uovu kupita maelezo ----- ukisoma na kusikiliza hapa utakachopata ndio HASA maana yake --- NOW MADE PUBLIC—AGENDA 2030 SECRETS THEY DARE NOT REVEAL… | "Global Possibilities"
 
Hayo yanakuhusu moja kwa moja wewe na mimi maana lengo la hawa watu ni kuwa na ONE WORLD GOVERNMENT - ndio maana ya Agenda 2030 ya umoja wa mataifa.
Kwahiyo unataka nami nitishwe namambo ya kufikirika?. Kama unazungumzia NEW WORLD ORDER" ndiyo hii iliyopo sasa: Tunaishi mtindo mpya wa maisha kulingana na haliiliyopo. Hakuna jambo la ajabu hapa na usitishe watu. Mimi natishika na mabadiliko yaliyotokea katika baraza la mawaziri na si vinginevyo maana mara nyingine mabadiliko yanaweza kuigawanya nchi vipandevipande
 
Kwahiyo unataka nami nitishwe namambo ya kufikirika?. Kama unazungumzia NEW WORLD ORDER" ndiyo hii iliyopo sasa: Tunaishi mtindo mpya wa maisha kulingana na haliiliyopo. Hakuna jambo la ajabu hapa na usitishe watu. Mimi natishika na mabadiliko yaliyotokea katika baraza la mawaziri na si vinginevyo maana mara nyingine mabadiliko yanaweza kuigawanya nchi vipandevipande
sawa
 
Nimeona clip ya fox TV anahojiwa mwakinyo na kaweka ishara kama hiyo hiyo ya huyo waziri
 
Nimeona clip ya fox TV anahojiwa mwakinyo na kaweka ishara kama hiyo hiyo ya huyo waziri
Kuna wengi sana (hasa vijana) ni mambo ya kuiga tu. Wanaona ni swaga lakini wahusika wanapofanya hivi huwa hawaigizi bali wanawasiliana. Sio kila mwenye silaha lazima awe mlinzi au askari, wengine ni majambazi - lakini naye ana silaha
 
Kuna wengi sana (hasa vijana) ni mambo ya kuiga tu. Wanaona ni swaga lakini wahusika wanapofanya hivi huwa hawaigizi bali wanawasiliana. Sio kila mwenye silaha lazima awe mlinzi au askari, wengine ni majambazi - lakini naye ana silaha
Maana yangu tusizungumze wa nje wakati ndani tunao pia wafuasi.
Unataka kusema tz hakuna mason
 
Maana yangu tusizungumze wa nje wakati ndani tunao pia wafuasi.
Unataka kusema tz hakuna mason
Ni kweli mason wako duniani kote, lakini asilimia 90 ya hao:
1. wanatumiwa tu na hawajui kinachoendelea
2. hawamo kwenye kilele cha pyramid

1631625254980.png

Kwenye kilele ndiko waliko wakongwe wenyewe wanaoendesha uovu wote mkubwa na wa kimataifa kwenye dunia.
 
Back
Top Bottom