Waziri Mkuu wa Uingereza ametoka hadharani kutetea sera za Waziri wake wa Fedha. Tanzania Waziri wa Fedha anabebeshwa mzigo bila sababu

Waziri Mkuu wa Uingereza ametoka hadharani kutetea sera za Waziri wake wa Fedha. Tanzania Waziri wa Fedha anabebeshwa mzigo bila sababu

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Hili swala linafikirisha..

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss ametoka hadharani na kutetea sera za Uchumi za Serikali yake zilizowasilishwa na Waziri wake wa Fedha Kwasi Kwarteng..

Kwarteng aliwasilisha mpango wa kufufua uchumi ulioainisha msururu wa kukata Kodi Ili kuvhochea uchumi..

Unfortunately mapendekezo hayo yamechochea mtafaruku wa Soko la Fedha huku IMF ikiitaka Uingereza kuachana na huo mpanga ikionya kwamba itasababisha mfumuko wa bei zaidi na kuzidi kuharibu Uchumi..

Kwarteng yuko kwenye shinikozo la kuachia ngazi.👇

Screenshot_20220930-093126.png
View attachment 2372297View attachment 2372298
 
sio swala la kufikrisha wala nn na pia hii sio njia ya watz wasimseme waziri wa fedha ata km raisi amtetee waziri wake. ukweli ni kwamba tunatofautia sana kwenye mifumo ya kiongozi na hali za maisha ya wananchi.... uingereza acha iitwe uingereza Tanzania acha iitwe Tanzania
 
Hapa Tz ili samia aonekane mwema na wale wapiga zumari wanaodai eti anaupiga mwingi, mzigo anatwisha Mwigulu. Ujinga mtupu.

Kwa kifupi samia yupo yupo tu na mpaka sasa hajui analolifanya zaidi ya kupoteza muda na fedha (kodi) za wananchi wa Tz.

Ila huyu Kwasi Kwarteng ananikumbusha author mmoja anaitwa Kwasi Koranteng m_Ghana.
 
Chadema wanamtetea Malkia wao kwa kila hali, hawambebeshi raisi wao mizigo kwa lolote linalotokea wanasema anaangushwa na Waziri.

Lkn ni kawaida Tanzania watu kukataa/kimbia majukukumu, anzia kwenye Familia baba wa Vijana wa Panya road wako wapi? Sasa hivi kila kitu ni kosa la Magufuli hata kama alishaenda kitambo na hayuko tena, ila miradi alioanzisha Magufuli ikifanya vizuri wanamtoa Malkia kumsifu kwamba ni yeye kafanya, mambo yakiharibika no responsibility at all, …
 
Huku kwetu wafuasi wa mtawala wanamtumia waziri wa fedha kama ngao ya kumkinga mtawala dhaifu, wajinga wanatuchezea akili.
 
Hili swala linafikirisha..

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss ametoka hadharani na kutetea sera za Uchumi za Serikali yake zilizowasilishwa na Waziri wake wa Fedha Kwasi Kwarteng..

Kwarteng aliwasilisha mpango wa kufufua uchumi ulioainisha msururu wa kukata Kodi Ili kuvhochea uchumi..

Unfortunately mapendekezo hayo yamechochea mtafaruku wa Soko la Fedha huku IMF ikiitaka Uingereza kuachana na huo mpanga ikionya kwamba itasababisha mfumuko wa bei zaidi na kuzidi kuharibu Uchumi..

Kwarteng yuko kwenye shinikozo la kuachia ngazi.👇

View attachment 2372296View attachment 2372297View attachment 2372298
Bora wao wanapunguza kodi huku tunachunwa ngozi tu
 
sio swala la kufikrisha wala nn na pia hii sio njia ya watz wasimseme waziri wa fedha ata km raisi amtetee waziri wake. ukweli ni kwamba tunatofautia sana kwenye mifumo ya kiongozi na hali za maisha ya wananchi.... uingereza acha iitwe uingereza Tanzania acha iitwe Tanzania
Tanzania sio kisiwa.
 
Sio kila kupunguza Kodi ni afya,kwa Tanzania hii ambayo watu hawalipi Kodi kulikuwa na ulazima wa tozo.
Wewe tozo sio mbaya lkn sio tozo umiza.
Hata wangechukua 200 tu kwa kila muamala ingetosha sana, sasa wao wanachukua hadi zaidi ya 5,000?

Tozo kubwa ujue imepunguza mzunguko wa pesa mtaani kwani kwa siku serikali inavuna pesa nyingi zaidi.
Na ikirudi kule wajanja wachache wanajilia tu
 
Hili swala linafikirisha..

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss ametoka hadharani na kutetea sera za Uchumi za Serikali yake zilizowasilishwa na Waziri wake wa Fedha Kwasi Kwarteng..

Kwarteng aliwasilisha mpango wa kufufua uchumi ulioainisha msururu wa kukata Kodi Ili kuvhochea uchumi..

Unfortunately mapendekezo hayo yamechochea mtafaruku wa Soko la Fedha huku IMF ikiitaka Uingereza kuachana na huo mpanga ikionya kwamba itasababisha mfumuko wa bei zaidi na kuzidi kuharibu Uchumi..

Kwarteng yuko kwenye shinikozo la kuachia ngazi.👇

View attachment 2372296View attachment 2372297View attachment 2372298
Uingereza na Tanzania ni vitu viwili tofauti kule mtawala akisakamwa anajiuzuru huku kwenue akisakama anatisha na kufunga jela wananchi
 
Back
Top Bottom