Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson aamua Lockdown sasa basi

Huna hoja ww, cz huna chochote cha kuongea hapo, mm nmekupa 7bu kibao kwanini namshabikia Magu, ww hujatoa hata moja kwa nn unamchukia, hvyo nakupuuza rasmi ila ukirudi na vihoja vyako uchwara naruka na ww km kawa.

Piga nyungu. Msukule ni nyungu!
 
Ungemalizia kabisa:

.. za kushikiwa na jiwe!
Mpumbavu ww huna cha kuongea, unamchukiaje mtu kizembe bila kuwa na 7bu za mcngi, km babaako au ndugu yako au ww mwenyewe ulitumbuliwa ni kwa uzembe wako lkn pia kwa manufaa ya taifa.
 
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Mtaelewa tuuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo aliyeandika hiyo Twitter hajui microbiology. Kwani ni ajabu Coronavirus kukutwa kwenye sample ya papai ?Test kits fake ni zile rapid test zinazopima antibodies.
PCR zote zipo accurate kwa asilimia 99.
 
Hivi slogan ya "Chukuwa Tahadhari " ndio slogan ya Magu? Bora kunywa mkojo wa mbwa kuliko mkojo wa uzwazwa.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Kuvaa barakoa kwa lazima ni kuchukua nini kama sio tahadhari ndugu?
 
Sawa kwa nini wakaruhusu watu kwenda kazini wakati maambukizi hayajapungua to that extent ya kuruhusu watu waanze kazi kama hapo mwanzo ?

Lengo la kufungua lockdown ni lipi kwao ?
Korona ipo, ninavyo jua ku loose kidogo marufuku , imetokana na watu kuweka muda mrefu nyumbani, walicho fanya kukuandaa kiakili ili uwelewe how’s seriously it is, so now kila mmoja atachukua tahadhari ya juu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…