Waziri mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apelekwa chumba cha watu mahututi ICU

Waziri mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apelekwa chumba cha watu mahututi ICU

Akil ya kitumwa usiwakubal viongoz wako umkubal mtu wa huko kisa mweupe itakua mkenya we maana wekenya pekeyao ktk ukanda huu ndio wenye akil hiz
Inatia huruma Sana,nilikua namkubali Sana huyu jamaa,,
Yaani inatakiwa viongozi wapunguze mikutano,huu ugonjwa ukikita mizizi haujali wewe Ni bilionea,general ama kapuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti mi namkubali kwel huyu jamaa, badala ya kumkubali Kenyatta ,fikra za kitumwa zimewachota kweli wakenya cjui sababu wanabonga bonga kizungu ndio maana nao wanajiona wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale woote wanaojifanya kuwaonea huruma wamagharibi nawafananisha na mbwa tu wakizungu ,maana nakumbuka kipindi huu ugonjwa unaanza China wanateseka baada ya kuwasaidia, marekani wakasema wazwaz kwamba eti huu ugonjwa ni fursa ya kiuchumi kwa marekani watatengeneza ajira nyingi baada ya kuwaonea huruma wenzao. Hawaoni tatizo mpaka liwafike woa Sasa utaona Leo hii mpumbavu mmoja linajihusisha na yeye Kwenye serikali za wazungu kana kwamba lishawah hata kupiga kura kumchagua mjumbe wa nyumba 10 . Jitu toka tumboni Lina akili za kitumwa mpaka limekua lipo hivyo unazan wao Wana mda wa kukuonea huruma wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nikahisi una matatizo kichwani au stress zimekubana za maisha maana unabwatuka tub bila break,,sasa Boris anahusishwa vipi na marekani Kama marekani walishangilia corona kuwepo China?.
Lazima uwe specific ,kiufupi borisi Yuko moderate kuliko viongozi wa uingereza waliopita na alikua anafocuss kwenye ishu za ndani za UK kuliko PM wengine walikuwa wakifuata mkumbo kill anachoamua marekani
 
Back
Top Bottom