mbalaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 2,240
- 2,629
Sisi ngozi nyeusi ni wanafiq sana.Acha zako wewe, mbona ebola imeanzia huku afrika na bado wanatutafutia kinga au kuna magonjwa Mangapi yanaanzia huku africa na bado wanatutafutia dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ngozi nyeusi ni wanafiq sana.Acha zako wewe, mbona ebola imeanzia huku afrika na bado wanatutafutia kinga au kuna magonjwa Mangapi yanaanzia huku africa na bado wanatutafutia dawa
Inatia huruma Sana,nilikua namkubali Sana huyu jamaa,,
Yaani inatakiwa viongozi wapunguze mikutano,huu ugonjwa ukikita mizizi haujali wewe Ni bilionea,general ama kapuku
Unataka amkubali Kiongozi mjinga Kama makondaAkil ya kitumwa usiwakubal viongoz wako umkubal mtu wa huko kisa mweupe itakua mkenya we maana wekenya pekeyao ktk ukanda huu ndio wenye akil hiz
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli hiyo ndio imeisha hivyo....
Mungu pekee ndio ngao iliyobakia kwake.
Kuvuka hicho kitanzi cha Corona kwa beberu mzee ni less than 5%.
Eeh Mungu fanya miujiza yako kumponya kiongozi huyo.
Wewe Kuna nut iko loose kichwani,tafuta fundi makanika akusaidie...
Kama siku yake ya kufa haijafika, ata amka vizuri sana.Sidhani kama ataamka
Jr[emoji769]
Nipo mkuu ngoja nitafute 12 na 14 fix ni ni kazee iyo loose bolt kwenye dish lake!Wewe Kuna nut iko loose kichwani,tafuta fundi makanika akusaidie...
Ndo maana nikahisi una matatizo kichwani au stress zimekubana za maisha maana unabwatuka tub bila break,,sasa Boris anahusishwa vipi na marekani Kama marekani walishangilia corona kuwepo China?.Kwa wale woote wanaojifanya kuwaonea huruma wamagharibi nawafananisha na mbwa tu wakizungu ,maana nakumbuka kipindi huu ugonjwa unaanza China wanateseka baada ya kuwasaidia, marekani wakasema wazwaz kwamba eti huu ugonjwa ni fursa ya kiuchumi kwa marekani watatengeneza ajira nyingi baada ya kuwaonea huruma wenzao. Hawaoni tatizo mpaka liwafike woa Sasa utaona Leo hii mpumbavu mmoja linajihusisha na yeye Kwenye serikali za wazungu kana kwamba lishawah hata kupiga kura kumchagua mjumbe wa nyumba 10 . Jitu toka tumboni Lina akili za kitumwa mpaka limekua lipo hivyo unazan wao Wana mda wa kukuonea huruma wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina..🙏🙏🙏..Mwenyezi MUNGU amponye
Nadhani anawashwa,,ngoja Sasa nideal nae huyu kibushuti wa akili
Ha ha,hebu itoe hiyo elimu Basi Kama hata unayo,,wewe ni hopeless case,hata sijui umetoka wapi,,umekuja lini humu jf?,au wewe ndo wale wanafunzi mmerudishwa likizo ya lazima?
Mshana the Ramli maker, Kings of the socerers, seer of the unseen!Sidhani kama ataamka
Jr[emoji769]