Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duhAtakikumbuka kile kirabu chake..
CHOZI LA TIKITI MAJI.. Filauni mkubwa..
Nimuombee ili iweje Sina hata udugu nae Sina kazi ya kufanya Kama ni sala si Bora nimuombee Rais wangu magufuli hata Kama simpendi .....[emoji22]Cheo cha makamu hakipo ila waziri wake wa mambo ya nje ambae ni myahudi Dominic Raab ndie anaekaimu nafasi ya waziri mkuu.
Bwana Boris Johnson amelazwa hiyo ICU kwenye hospitali ya mtakatifu Thomas.
Hospitali hiyo ndio aliolazwa hayati Baba wa taifa Mwalimu Nyerere mwaka 1999.
Katika kipindi hiki cha kwaresima, tumwombee bwana Boris Jonson apate nafuu haraka ili arudi kuendesha nchi ya Uingereza ambayo uchumi wake waelekea kudorora vibaya sana.
Wanalitoa kafara ili kuudanganya na kuuhadaa ulimwengu....[emoji23][emoji23]Mimi simkubali ni divisive na Freemason aliyekubuhu.