jey n
Senior Member
- Dec 15, 2018
- 159
- 145
😆😆😆😆😆hata mimi ujamaa staki kabisa kuusikiaHawa warusi wapumbavu walimtia ujinga wa itikadi za ujamaa mzee wangu akawa mpuuzi akaleta umaskini katika familia. Sitaki kuwasikia hawa mbuzi. Mzee akawa fala tu.