enzo1988
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 1,838
- 7,346
Serikali ya Uingereza imetangaza kupunguza bajeti ya misaada ya maendeleo ya kigeni kutoka asilimia 0.5 hadi asilimia 0.3 ya Pato la Taifa (GNI). Waziri Mkuu Sir Keir Starmer aliliambia bunge Jumanne kwamba hatua hiyo inalenga kuongeza matumizi ya sekta ya ulinzi.
Starmer alieleza amefanya maamuzi magumu na yenye uchungu, lakini akasisitiza kuwa kipaumbele cha serikali yake kwa sasa ni kwenye sekta ya ulinzi.
Aliahidi kufanya jitihada za kurejesha uwezo wa maendeleo licha ya kupunguzwa kwa bajeti hiyo.
Licha ya kupunguza misaada ya maendeleo, Uingereza itaendelea kushiriki katika juhudi za kibinadamu nchini Sudan, Ukraine na Gaza.
Mashirika ya misaada yameeleza wasiwasi wao kuhusu athari za uamuzi huo. UNICEF UK imeonya kuwa mamilioni ya watoto watakosa huduma muhimu za afya, chakula na elimu, jambo ambalo litahatarisha maisha yao hasa katika kipindi cha ongezeko la ukosefu wa usalama duniani.
Serikali ya Uingereza inapanga kuongeza bajeti ya ulinzi hadi asilimia 2.5 ya Pato la Taifa ifikapo Aprili 2027, hatua inayotekelezwa mapema kwa miaka mitatu kuliko ilivyopangwa awali.
Katika mpango wake wa mabadiliko, Waziri Mkuu Starmer ameahidi kufikisha matumizi ya ulinzi hadi asilimia 3 katika muhula ujao wa bunge.
==========================================================
Britain is to cut its foreign development assistance funding from 0.5% of its Gross National Income (GNI) down to 0.3%, Prime Minister Sir Keir Starmer told the parliament on Tuesday. The cut is necessary in order to increase spending on defense, he stated.
The move requires “extremely difficult and painful choices,” Starmer said, referring to the aid cut. “That is not an announcement I am happy to make,” the prime minister told MPs, vowing to “do everything we can” to “rebuild a capability on development.” He still maintained that defense was “the number one priority of this government.”
According to Starmer, the UK would still “continue to play a humanitarian role in Sudan, in Ukraine and Gaza.”
“These cuts will mean millions of children not having access to critical health care, not having enough to eat, and missing out on their learning. At a time of increased global insecurity and instability, this decision will undoubtedly risk lives,” said Dr Philip Goodwin, the CEO of UNICEF UK, the British chapter of the agency providing humanitarian and developmental aid to children worldwide.
London plans to raise its defense expenditures to 2.5% of its GDP by April 2027 – three years earlier than previously planned – under Starmer’s Plan for Change, according to a government statement. The prime minister also vowed to increase the spending to 3% of GDP in the next parliament, citing “global instability,” the Ukraine conflict, “increasing threats from malign actors” and climate change, according to his office.
The definition of defense spending will be expanded to include security and intelligence agencies, bringing total expenditures under the article to 2.6% of GDP, according to the statement.
Source: The Guardian
Starmer alieleza amefanya maamuzi magumu na yenye uchungu, lakini akasisitiza kuwa kipaumbele cha serikali yake kwa sasa ni kwenye sekta ya ulinzi.
Aliahidi kufanya jitihada za kurejesha uwezo wa maendeleo licha ya kupunguzwa kwa bajeti hiyo.
Licha ya kupunguza misaada ya maendeleo, Uingereza itaendelea kushiriki katika juhudi za kibinadamu nchini Sudan, Ukraine na Gaza.
Mashirika ya misaada yameeleza wasiwasi wao kuhusu athari za uamuzi huo. UNICEF UK imeonya kuwa mamilioni ya watoto watakosa huduma muhimu za afya, chakula na elimu, jambo ambalo litahatarisha maisha yao hasa katika kipindi cha ongezeko la ukosefu wa usalama duniani.
Serikali ya Uingereza inapanga kuongeza bajeti ya ulinzi hadi asilimia 2.5 ya Pato la Taifa ifikapo Aprili 2027, hatua inayotekelezwa mapema kwa miaka mitatu kuliko ilivyopangwa awali.
Katika mpango wake wa mabadiliko, Waziri Mkuu Starmer ameahidi kufikisha matumizi ya ulinzi hadi asilimia 3 katika muhula ujao wa bunge.
==========================================================
Britain is to cut its foreign development assistance funding from 0.5% of its Gross National Income (GNI) down to 0.3%, Prime Minister Sir Keir Starmer told the parliament on Tuesday. The cut is necessary in order to increase spending on defense, he stated.
The move requires “extremely difficult and painful choices,” Starmer said, referring to the aid cut. “That is not an announcement I am happy to make,” the prime minister told MPs, vowing to “do everything we can” to “rebuild a capability on development.” He still maintained that defense was “the number one priority of this government.”
According to Starmer, the UK would still “continue to play a humanitarian role in Sudan, in Ukraine and Gaza.”
“These cuts will mean millions of children not having access to critical health care, not having enough to eat, and missing out on their learning. At a time of increased global insecurity and instability, this decision will undoubtedly risk lives,” said Dr Philip Goodwin, the CEO of UNICEF UK, the British chapter of the agency providing humanitarian and developmental aid to children worldwide.
London plans to raise its defense expenditures to 2.5% of its GDP by April 2027 – three years earlier than previously planned – under Starmer’s Plan for Change, according to a government statement. The prime minister also vowed to increase the spending to 3% of GDP in the next parliament, citing “global instability,” the Ukraine conflict, “increasing threats from malign actors” and climate change, according to his office.
The definition of defense spending will be expanded to include security and intelligence agencies, bringing total expenditures under the article to 2.6% of GDP, according to the statement.
Source: The Guardian