Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Acheni stori za ukichaa ukichaa hukuMagu alikuwa mbele ya muda sana...
Jamaa alikuwa kama TIME TRAVELLER...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni stori za ukichaa ukichaa hukuMagu alikuwa mbele ya muda sana...
Jamaa alikuwa kama TIME TRAVELLER...
wenye kutoa misaada hawataendelea kupenda kuona misaada yao inatumika kwa mambo ya kifahari, kununua magari ya bei kubwa wakati yapo ya bei ndogoHayo magari Lc vx v8 hatuwezi kuacha kuyanunua. Yanalandana na hadhi ya viongozi wetu.
Viongozi wetu siyo wa kutumia mikokoteni kama Rumion, au passo au sijui vitz.. hapana haiwezekani kabisa.
Hawa wafadhali wametukosea sana walitakiwa wawe wamekata misaada toka 80s,tungekuwa tumeishajitambua,haya mamikataba ya ajabu ajabu eti mtu wa jangwani ndiye anahifadhi misitu yetu, hadi kichefuchefu.Sheria za kimila na sungusungu tU zimehifadhi misitu karne na Karne Bunge la 2cry halina uwezo huo hadi Mwarabu.Wenzao wanapunguza matumizi. Huku wanaponda hela ya mlipa kodi bila aibu! Ma V8, misafara mikubwa, masherehe, maposho, masafari, hata hawajali matumizi ya hela ya raia!
Mungu aendelee kuwabariki Wazungu.Wale wazee wa kitonga na tusiopenda kujitegemea mambo yanazidi kuwa magumu! Akili itakuja tu!
Starmer announces big cut to UK aid budget to boost defence spending
Keir Starmer has announced drastic cuts to Britain’s international aid budget to help pay for a major increase in defence spending, amid fears over Donald Trump’s commitment to European security.
Tue 25 Feb 2025
starmer-planning-big-cuts-to-aid-budget-to-boost-defence-spending-say-sourcesPolitics | The Guardian
www.theguardian.com
25 Feb, 2025 19:05
![]()
UK to cut international aid to increase defense spending – Starmer
The UK has announced plans to cut its foreign aid in the name of increasing total defense spending to 2.6% of its GDP by 2027www.rt.com
Nashangaa wanaosema jiwe aliacha kuomba na kukopa akatumia pesa ya ndani, wakati huo CAG alisema deni la taifa limeongezeka watu wanashindwa kujiuliza deni la taifa linaongezekaje na wakati anko anatuambia anatumia pesa ya ndani?Kwahiyo alifanya nn? Alisitisha kuomba msaada? Alijitegemea 100%?
Serikali ya hovyo hii, hovyo kabisaKwa mwaka huu wa fedha, bajeti ya kununua magari ni Bilioni 800. Hayo lazima zitanunuliwa tu. Watu walilalamika bajeti kubwa ya magari lakini rais alitetea na kusema magari lazima yanunuliwe, whether mnataka ama hamtaki.
Hela ya matumizi yasio ya msingi zipo za kutosha, za maendeleo hakuna, tunasubiri za misaada ya watu wa Marekani na Ulaya.
Bajeti inatengwa, 70% ni matumizi ya kawaida, 30% za maendeleo. Hixo 30% kwa mwaka zinaweza kupelekwa 10 ama 15 tu ila kwenye matumizi, hutumika hata zaidi ya 70% iliyopangwa.
Bila evidence hii nayo ni porojo tuNashangaa wanaosema jiwe aliacha kuomba na kukopa akatumia pesa ya ndani, wakati huo CAG alisema deni la taifa limeongezeka watu wanashindwa kujiuliza deni la taifa linaongezekaje na wakati anko anatuambia anatumia pesa ya ndani?
Hayo magari ya bei ndogo ndiyo size ya nyie walala hoi. Sasa unataka mimi waziri ambaye pia ni mbunge nitembelee vitz au passo au lile gari lililokaa kama kasongo sijui rumion kweli?wenye kutoa misaada hawataendelea kupenda kuona misaada yao inatumika kwa mambo ya kifahari, kununua magari ya bei kubwa wakati yapo ya bei ndogo
Hakuwa na lolote,aliponyimwa pesa za millennium challenge mpaka abadili sheria ya 'habari',alifanya chapu kubadili sheria Ili apate pesaMagu alikuwa mbele ya muda sana...
Jamaa alikuwa kama TIME TRAVELLER...
Huu utaratibu ameuanzisha Babu na utakuwa ni utaratibu bora kabisa kwa wajukuu zetu na hata vitukuu miaka mingi inayokija Mungu mbariki Babu na wote wanaochota hekima zake.Sisi acha tuende lee kulala usingizini na siasa zetu za chawa na uchawa.N a zile za kujua kusoma na kuandika.Kuna miradi ya maji vijijini inayoendeshwa na UK-AID. Kwa maana hiyo inakwenda kusimama?
Kichekesho kiko hapa,
Mradi mmoja wa kisima unagharimu Tsh. Milioni 122 ila hivi vijiji tokea uhuru serikali ilishindwa peleka maji hadi UK-AID walivyojitokeza kuleta ukombozi
Gharama ya V8 moja la fisadi inaweza komboa vijiji vinne na shida ya maji ikabaki historia, ila kwakuwa sio kipaumbele chetu, acha tulie "UK amesitisha misaada"