Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer atangaza kupunguza misaada kutoka Uingereza kwenda nchi nyingine

Hayo magari Lc vx v8 hatuwezi kuacha kuyanunua. Yanalandana na hadhi ya viongozi wetu.

Viongozi wetu siyo wa kutumia mikokoteni kama Rumion, au passo au sijui vitz.. hapana haiwezekani kabisa.
wenye kutoa misaada hawataendelea kupenda kuona misaada yao inatumika kwa mambo ya kifahari, kununua magari ya bei kubwa wakati yapo ya bei ndogo
 
Wenzao wanapunguza matumizi. Huku wanaponda hela ya mlipa kodi bila aibu! Ma V8, misafara mikubwa, masherehe, maposho, masafari, hata hawajali matumizi ya hela ya raia!
Hawa wafadhali wametukosea sana walitakiwa wawe wamekata misaada toka 80s,tungekuwa tumeishajitambua,haya mamikataba ya ajabu ajabu eti mtu wa jangwani ndiye anahifadhi misitu yetu, hadi kichefuchefu.Sheria za kimila na sungusungu tU zimehifadhi misitu karne na Karne Bunge la 2cry halina uwezo huo hadi Mwarabu.
 
Mungu aendelee kuwabariki Wazungu.
Aamin
 
Kwahiyo alifanya nn? Alisitisha kuomba msaada? Alijitegemea 100%?
Nashangaa wanaosema jiwe aliacha kuomba na kukopa akatumia pesa ya ndani, wakati huo CAG alisema deni la taifa limeongezeka watu wanashindwa kujiuliza deni la taifa linaongezekaje na wakati anko anatuambia anatumia pesa ya ndani?
 
Serikali ya hovyo hii, hovyo kabisa
 
Nashangaa wanaosema jiwe aliacha kuomba na kukopa akatumia pesa ya ndani, wakati huo CAG alisema deni la taifa limeongezeka watu wanashindwa kujiuliza deni la taifa linaongezekaje na wakati anko anatuambia anatumia pesa ya ndani?
Bila evidence hii nayo ni porojo tu
 
wenye kutoa misaada hawataendelea kupenda kuona misaada yao inatumika kwa mambo ya kifahari, kununua magari ya bei kubwa wakati yapo ya bei ndogo
Hayo magari ya bei ndogo ndiyo size ya nyie walala hoi. Sasa unataka mimi waziri ambaye pia ni mbunge nitembelee vitz au passo au lile gari lililokaa kama kasongo sijui rumion kweli?
 
Magu alikuwa mbele ya muda sana...


Jamaa alikuwa kama TIME TRAVELLER...
Hakuwa na lolote,aliponyimwa pesa za millennium challenge mpaka abadili sheria ya 'habari',alifanya chapu kubadili sheria Ili apate pesa
 
Huu utaratibu ameuanzisha Babu na utakuwa ni utaratibu bora kabisa kwa wajukuu zetu na hata vitukuu miaka mingi inayokija Mungu mbariki Babu na wote wanaochota hekima zake.Sisi acha tuende lee kulala usingizini na siasa zetu za chawa na uchawa.N a zile za kujua kusoma na kuandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…