Waziri mkuu, Wananchi wamefukuzwa uwanja wa Taifa ili tu ukiingia uwanjani uone eti safi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Mheshimiwa Waziri mkuu nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Najua wewe ni mdau wa michezo nchini na umejitahidi sana kuhamasisha wananchi waishangilie timu yao.

Ila hapa uwanha wa Taifa Kuna ujinga mmoja umefanyika, Mapolisi wanaswaga watu, na kuwafukuza eneo la uwanja ili eti paonekane safi hakuna tatizo.

Kiukweli raia tumekuja, tumejitoa kushangilia timu yetu lakini tunapigwa, tunanyanyaswa na maaskari hii inakakuwaje hii?

Mheshimiwa waziri fuatilia hii kitu, Tumu ya Taifa inapocheza ni wakati wa kuungana na kusaidia timu kucheza na si kukwazana kupigana, kuvunjana miguu etc.

Pia hata suala la mtandao wa kununua credit za kuingilia uwanjani nao unasumbua yaani shida tupu
 
Unafukuza vipi watu ili uwanja uonekane msafi, kwani watu ndio uchafu unaochafua uwanja?

Anyway, kama ni wale polisi wa Simbachawene hata sishangai.
Wana mambo ya kijinga sana

Wwnanchi kibao wameshindwa kuingia ndani kushangilia timu yao kwa sababu ya management mbovu
 
Mkitaka amani jitahidini kuiondoa ccm madarakani
 
Unafukuza vipi watu ili uwanja uonekane msafi, kwani watu ndio uchafu unaochafua uwanja?

Anyway, kama ni wale polisi wa Simbachawene hata sishangai.
Simba aliwacha kituko cha mwaka hata kuona aibu
 
Kuna mdau alifikishwa mahakamani kwa kucomment 'kuna tofauti kati ya polisi na takataka'
 
Si wamesema wanaingia mashabiki elfu 35? Kwa nn polisi wawafukuze hapo nje au idadi ya mashabiki imetimia humo ndani?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…