Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Dola=mabeberu,shilingi=wazalendo.Wao kutumia dola ni sawa sisi tukifanya biashara kwa dola ni kosa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola=mabeberu,shilingi=wazalendo.Wao kutumia dola ni sawa sisi tukifanya biashara kwa dola ni kosa.
Huenda kuna Mtu Mmoja anataka Watanzania washindwe ili Wafe kwa wingi kisha imsaidie kwa Kafara zake na Biashara ya Majeneza imlipe zaidi.Taasisi nyingi za Serikali zinatoa huduma kwa kudai dola ya Marekani kama malipo. CRB, ERB zote zinadai Dola za Kimarekani.
Wizara ya afya inapima Corona na malipo ni ya Dola. Suala la aibu na fedhea kwa mlalahoi kupimwa kwa dola.
Nashindwa kuelewa, hii matumizi ya dola inahalalishwa na Serikali au ni wahuni wachache? Kwanini Dola itumike wakati ukipatikana na dola hata kidogo unapigwa money laundering na uhujumu uchumi?
Mikoani kusikokuwa na dola wananchi watafanyaje?
This is shameful
Kuna zingoovi vilaza nchi hii, sijapata kuonaTaasisi nyingi za Serikali zinatoa huduma kwa kudai dola ya Marekani kama malipo. CRB, ERB zote zinadai Dola za Kimarekani.
Wizara ya afya inapima Corona na malipo ni ya Dola. Suala la aibu na fedhea kwa mlalahoi kupimwa kwa dola.
Nashindwa kuelewa, hii matumizi ya dola inahalalishwa na Serikali au ni wahuni wachache? Kwanini Dola itumike wakati ukipatikana na dola hata kidogo unapigwa money laundering na uhujumu uchumi?
Mikoani kusikokuwa na dola wananchi watafanyaje?
This is shameful
Tumeshakuwa Gangsters republicNCHI INA UHABA WA FEDHA ZA KIGENI SUBIRI TUZIKUSANYE.
ZILE TULIZONYANG'ANYA KWENYE MADUKA YA KUBADILISHIA FEDHA KIPINDI KILE ZIMEISHA.
Utashangaa zaidi ukijua wafanya maamuzi ya kipumbavu kama hayo wana PHd, halafu utakuta wapuuzi kama Masanja Mkandamizaji wapo busy kusifia utopolo wao.Falsafa za ujamaa wakati mwingine upingana.
Kukutwa na dola ni uhujumu uchumi,Bali malipo kwa dola.
So kwenda kenya,au zambia ni lzm ulipie 231000 covid test.Gharama za kupima ni kubwa mara tatu ya nauli ya dar nairobi
Kuwa na phd sio kipimo cha reasoning unawekuwa nayo ya claiming capacity.Utashangaa zaidi ukijua wafanya maamuzi ya kipumbavu kama hayo wana PHd, halafu utakuta wapuuzi kama Masanja Mkandamizaji wapo busy kusifia utopolo wao.
PhD zenyewe magumashi. Watu wapumbavu sana. Yaani mtanzania anachajiwa dola 100 kupima koronaKuwa na phd sio kipimo cha reasoning unawekuwa nayo ya claiming capacity.
Claiming na reasoning ni vitu viwili tofauti.
Ni ghali chukulia asafirie mara 20 kwa mwaka atalipa ngapi.kuna wafanyabiashara usafiri Zaid ya mara 10 kwa mweziPhD zenyewe magumashi. Watu wapumbavu sana. Yaani mtanzania anachajiwa dola 100 kupima korona
PhD za bongo za kutaka Chato iwe kama Wuhan?PhD zenyewe magumashi. Watu wapumbavu sana. Yaani mtanzania anachajiwa dola 100 kupima korona