Waziri Mpango umenena kuhusu Mamlaka ya Mapato Tanzania

hili jambo halitowezekna kwa tz ytu! mpango wao bdo utakuwa palepale wa kodi nyang`anyi! hadi tuupite uchumi wa kati.. 🙄
 
TRA wanachofanyiwa ni sawa wanapelekwa Wodini wanazalishwa alafu wanalazimishwa wawe bikra
 
Mtu mmoja anawezaje kuwa na mamlaka ya kufunga biashara ya mtu at will wao wenyewe wanatengeneza mazingira ya kutengeneza miungu watu.

Mfanyabiashara anapopishana na afisa wa TRA kwenye kodi anayotakiwa kulipa hatua ya kwanza ni kutafuta afisa wa eneo lingine (independent) akakakugue na yeye aone kama atakuja na different opinion.

Assessment zake zikikubaliana na wa mwanzo mfanyabiashara kama bado aafiki swala linaenda kwenye mahakama za kodi or dispute resolution kama zipo.

Lakini kumwachia mtu mmoja awe na maamuzi ya kufunga biashara ya mtu huo ni upuuzi uliopindukia.

Wafanyabiashara nao wajifunze account ya biashara uwezi kuweka hela zako binafsi, kwenye kukaguliwa lazima watu wapate access ya account ya biashara for bank reconciliation purposes.

Management nzima ya TRA inabidi iangaliwe upya, kuna tatizo huko.
 
Hii ndiyo kero namba one Tanzania kufunga Account kienyeji kishamba kwa njia haramu za kishetani kwa nia ya kumkomoa mfanyabiashara ama kusaka Rushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…