KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Tani ngapi kwani?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala kitimoto utawajua tuHizi tenda zilitakiwa kupokelewa hata na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum kwa niaba ya serikali! Halafu zingegawiwa kwa ndugu zetu katika imaan wakati wa mfungo mtukufu wa Ramadhan! Mambo yangekuwa murua kabisa.
Hakukuwa na sababu ya msingi kwa waziri kuacha kazi na kwenda kupokea hizo tende za msaada.
Mahindi tuwapelekeeNasi tupeleke wasichozalisha tuone kama watapokea
Hahahahahah Hii TZMpaka tende nazo tunapewa kama msaada!
Zipo mbagara rangi 3 stendi pale, chakula ghali kipo mbagara?Ni miongoni mwa vyakula ghali hivyo. Umeshawahi kununua tende weye?
Watu wote wenye mapenzi memaBwashee hizo tende anapewa nani?
Kwanini?Hawa waarabu wa saudia ni bahiri sana
Bora kupewa msaada wa tende kuliko silaha za kuuana.Waziri wa Mambo ya Nje Mh. Mulamula jana alikabidhiwa msaada wa Tende kutoka kwa Balozi wa Saudi Arabia nchini.
Matunda ya Tende hutumiwa kama tiba mbadala kwa Maradhi mbalimbali.
Source: ITV
Sasa we mwana wa Mbonde tende unalima wapi???? sie tunawapelekea mchele na nyama. Wanakupa tuvitu tutamu na wewe utoe shekh!Mpaka tende nazo tunapewa kama msaada!
Mtawapa na tiGO?Sasa we mwana wa Mbonde tende unalima wapi???? sie tunawapelekea mchele na nyama. Wanakupa tuvitu tutamu na wewe utoe shekh!
Kingine ukumbuke tunanunua mafuta (Petrol/diesel/gas) kutoka kwao, kwa hiyo kama unavyotoa christmass gift kwa wateja wako
Hilo neno tyu huwa mnalitumia kwa maana ipi?Mnapenda sana kupokea, ila mkipewa masharti ya misaada msianze kulaumu tamaduni zenu, hakuna cha buree duniani hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], nawakumbusha tyuuh.