Waziri Mulamula apokea msaada wa Tende kutoka Saudi Arabia

Waziri Mulamula apokea msaada wa Tende kutoka Saudi Arabia

Waziri wa Mambo ya Nje Mh. Mulamula jana alikabidhiwa msaada wa Tende kutoka kwa Balozi wa Saudi Arabia nchini.

Matunda ya Tende hutumiwa kama tiba mbadala kwa Maradhi mbalimbali.

Source: ITV
that is all the arabs can give.
 
Watuletee na al ankasus, imeadimika sana.
 
Back
Top Bottom