ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Unawaza kama mimi mkuu! Tena ubalozi upo kabisa pale salenda na kwa mujibu wa taarifa nilizonazo kati ya hao waTz 300+ waliopo UKRAINE 297 wapo mji wa mpakani na Urusi unaitwa Summy. Sasa kwanini wasivuke boda tu tena kwa miguu waende wakachukuliwe na ATCL Moscow?Tuengee vizuri na Urusi, waende Moscow.
Wizara inafanyia kazi mawazo yako.Unawaza kama mimi mkuu! Tena ubalozi upo kabisa pale salenda na kwa mujibu wa taarifa nilizonazo kati ya hao waTz 300+ waliopo UKRAINE 297 wapo mji wa mpakani na Urusi unaitwa Summy. Sasa kwanini wasivuke boda tu tena kwa miguu waende wakachukuliwe na ATCL Moscow?
Waziri wa Mambo ya nje Mh Mulamula amewataka watanzania takribani 300 walioko Ukraine wajitahidi waweze kuingia Poland ambako uratibu unafanyika.
Mulamula amesema ameona ubaguzi unaoendelea Ukraine kupitia mitandaoni na amesikitishwa sana lakini wananchi wasiwe na wasiwasi kwa sababu serikali inafuatilia kwa karibu sana.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Balozi ni Dr Slaa......oooh sorry kumbe amestaafu.How ?
Wameshaongea na Poland ili kuwapokea hao watu mia tatu ?
Wakati kama huu ndio Ubalozi inabidi ufanye kazi yake..., sio tu kufanya photo shoot...
Katika maisha usiangalie mwenzako kafanya nini, fanya lako.Hivi Putin alipopeleka wanajeshi wake 150,000 mipakani na kabla ya kuviondoa na kurudi kivita je kuna nchi gani ya Afrika iliondoa raia wake?
Wanatumia satalaiti za CCM zilizopo Lumumba.Hili neno' tunafuatilia kwa karibu' huwa silielewi kabisa..
Kubwa zipo zaidi ya 2 mkuu!Ipo Poland!
Inafuatilia huku yupo Dar kwenye kiyoyoziWaziri wa Mambo ya nje Mh Mulamula amewataka watanzania takribani 300 walioko Ukraine wajitahidi waweze kuingia Poland ambako uratibu unafanyika.
Mulamula amesema ameona ubaguzi unaoendelea Ukraine kupitia mitandaoni na amesikitishwa sana lakini wananchi wasiwe na wasiwasi kwa sababu serikali inafuatilia kwa karibu sana.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wakishiba ndiyo zaoWanatumia satalaiti za CCM zilizopo Lumumba.
Kwa ungo wa Sumbawanga labda, CCM wanadharau snWaingie Poland kwa usafiri gani.
Hivi ukimwambia mtu aliyeko mtwara aingie Kenya bila msaada wa kumuwezesha kufika Namanga again ataingia kweli Kenya?
Watawezaje kufika huko na watakuwa wanakula nini?
Kwa nini wasiende Urusi ambako ni karibu?Waziri wa Mambo ya nje Mh Mulamula amewataka watanzania takribani 300 walioko Ukraine wajitahidi waweze kuingia Poland ambako uratibu unafanyika.
Mulamula amesema ameona ubaguzi unaoendelea Ukraine kupitia mitandaoni na amesikitishwa sana lakini wananchi wasiwe na wasiwasi kwa sababu serikali inafuatilia kwa karibu sana.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Et wana nchi wasiwe na wasiwasi.
CCM huwa hamjiongezi , Watu wameanza kuwatoa RAIA wao wiki kadhaa kabla ya Vita hiyo.
Nyie mnastuka saizi tena baada ya Raia kuhoji .
Sasa mipakani tu huko Ukraine, Waafrika wanabaguliwa ,hamna kuondoka , sisi wazungu kwanza ndo tunasepa .
Acha kujifanya msemaji wa serikali, walienda rasmi na serikali inalijua hilo.Acha utoto. CCM ndo nini. Wale watoto walioko kule wamepelekwa na CCM. Unaingiza Siasa kwa mambo serious. Umejiuliza kwanini wazazi hawakuwatoa watoto wao mapema? Kusoma Ukraine [emoji1255] Nchi maskini lazima mzazi ajiweze. Je Tanzania Ina Ubalozi Ukraine au inategemea Huyu wa Ujerumani? Mambo haya sio rahisi sana. Wengi wanaenda nje bila kujisajiri kwenye Balozi husika au kujitambulisha tu. Shida ikitokea ndo Serikali mnaikumbuka. Ikifanya jambo lazima mtafute lawama. Umeambiwa Sasa wanafanya utaratibu wao wafike tu Poland. Unakuja na Vyama. Wewe chama gani mkuu. Fanya tofauti.
Ulitaka kusema nini mkuu.. akili zipo sema hazina akiliUmoja wa taifa nao hauna akili.